Hivi hizi taa za kuongozea magari zinazofungwa sasa hapa Dar zimefanyiwa Tathmini au ni Upigaji?

Hivi hizi taa za kuongozea magari zinazofungwa sasa hapa Dar zimefanyiwa Tathmini au ni Upigaji?

uran

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2013
Posts
10,392
Reaction score
15,948
Wadau ni balaa sasa,

Taa zinazofungwa kwa sasa kuanzia Barabara ya Gerezani, Sokoine Drive na Kilwa Road sio za kawaida.

Ni nyingi kupita maelezo, nauliza tu aliyefanya Tathmini ya kuweka hizi taa amelenga nini?

Kwa mfano ukitokea Gerezani kona ya Sokoine Drive Kuna msururu wa traffic light. Inaanza ya kivuko cha watembea kwa miguu, mbele mita 10 kuna taa za kuingia barabara ya gerezani mita 10 tena kuna taa za junction ya Sokoine na Gerezani.

Its look too much.

Anyway ngoja tuone zitafanya vipi kazi.

Ila ni kiashiria cha uharibifu wa rasilimali pesa.
 
Wadau ni balaa sasa,

Taa zinazofungwa kwa sasa kuanzia Barabara ya Gerezani, Sokoine Drive na Kilwa Road sio za kawaida.

Ni nyingi kupita maelezo, nauliza tu aliyefanya Tathmini ya kuweka hizi taa amelenga nini?

Kwa mfano ukitokea Gerezani kona ya Sokoine Drive Kuna msururu wa traffic light. Inaanza ya kivuko cha watembea kwa miguu, mbele mita 10 kuna taa za kuingia barabara ya gerezani mita 10 tena kuna taa za junction ya Sokoine na Gerezani...

Its look too much.

Anyway ngoja tuone zitafanya vipi kazi.

Ila ni kiashiria cha uharibifu wa rasilimali pesa.
😀😀😀
 
Last week nilipita Bara bara ya Gerezani Saba Saba
Nikaona kitu cha aina hiyo yaani mataa, kituo cha Mwendokasi alafu mbele tena mataa
Nikabaki na shangaa inakuaje kuaje
 
Tuliza mshono. nchi imefunguka
Imefunguka kwa traffic light lukuki?

Hivi unajua asilimia kubwa ya taa zilizopo Dar huwa hazifanyi kazi?

Kama leo Kuanzia pale Kisutu(Junction ya Bibi titi na Azikiwe)
Hadi Kamata hakukuwa na traffic light zinazofanya kazi?

Sasa kwanini the old one zisirekebishwe kwanza?🤣🤣🤣.

Nchi inafunguka at the same time inajifunga.🤣🤣🤣
 
Imefunguka kwa traffic light lukuki?

Hivi unajua asilimia kubwa ya taa zilizopo Dar huwa hazifanyi kazi?

Kama leo Kuanzia pale Kisutu(Junction ya Bibi titi na Azikiwe)
Hadi Kamata hakukuwa na traffic light zinazofanya kazi?

Sasa kwanini the old one zisirekebishwe kwanza?🤣🤣🤣.

Nchi inafunguka at the same time inajifunga.🤣🤣🤣
Who cares?
 
Back
Top Bottom