uran
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 10,392
- 15,948
Wadau ni balaa sasa,
Taa zinazofungwa kwa sasa kuanzia Barabara ya Gerezani, Sokoine Drive na Kilwa Road sio za kawaida.
Ni nyingi kupita maelezo, nauliza tu aliyefanya Tathmini ya kuweka hizi taa amelenga nini?
Kwa mfano ukitokea Gerezani kona ya Sokoine Drive Kuna msururu wa traffic light. Inaanza ya kivuko cha watembea kwa miguu, mbele mita 10 kuna taa za kuingia barabara ya gerezani mita 10 tena kuna taa za junction ya Sokoine na Gerezani.
Its look too much.
Anyway ngoja tuone zitafanya vipi kazi.
Ila ni kiashiria cha uharibifu wa rasilimali pesa.
Taa zinazofungwa kwa sasa kuanzia Barabara ya Gerezani, Sokoine Drive na Kilwa Road sio za kawaida.
Ni nyingi kupita maelezo, nauliza tu aliyefanya Tathmini ya kuweka hizi taa amelenga nini?
Kwa mfano ukitokea Gerezani kona ya Sokoine Drive Kuna msururu wa traffic light. Inaanza ya kivuko cha watembea kwa miguu, mbele mita 10 kuna taa za kuingia barabara ya gerezani mita 10 tena kuna taa za junction ya Sokoine na Gerezani.
Its look too much.
Anyway ngoja tuone zitafanya vipi kazi.
Ila ni kiashiria cha uharibifu wa rasilimali pesa.