Hivi hizo tozo za jengo zinafanya kazi gani? maana umeme kutwa kukatika

Hivi hizo tozo za jengo zinafanya kazi gani? maana umeme kutwa kukatika

Exile

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2021
Posts
1,477
Reaction score
3,642
Wakuu juzi tu hapa wameongeza kodi ya mita za luku kutoka 1000 hadi 1500 inamaana kwa siku za tarehe 1 ukinunua umeme wa 5000 unapata unit 9, inamaana inakua umenunua umeme wa 3500.

Kinacho sikitisha na kuchosha ni kukatika kwa umeme hovyo, sasa nyie wizara ya nishati hizo hela mnazotukata zinatumika kufanya nini kuboresha miundo mbinu au kulipana posho?
 
Wakuu juzi tu hapa wameongeza tozo za majengo kutoka 1000 hadi 1500 inamaana kwa siku za tarehe 1 ukinunua umeme wa 5000 unapata unit 9, inamaana inakua umenunua umeme wa 3500.

Kinacho sikitisha na kuchosha ni kukatika kwa umeme hovyo, sasa nyie wizara ya nishati hizo hela mnazotukata zinatumika kufanya nini kuboresha miundo mbinu au kulipana posho?
Tozo ya jengo haiend Tanesco boss think properly
 
Wakuu juzi tu hapa wameongeza tozo za majengo kutoka 1000 hadi 1500 inamaana kwa siku za tarehe 1 ukinunua umeme wa 5000 unapata unit 9, inamaana inakua umenunua umeme wa 3500.

Kinacho sikitisha na kuchosha ni kukatika kwa umeme hovyo, sasa nyie wizara ya nishati hizo hela mnazotukata zinatumika kufanya nini kuboresha miundo mbinu au kulipana posho?
Wananunua mashangingi mkuu
 
Wakuu juzi tu hapa wameongeza tozo za majengo kutoka 1000 hadi 1500 inamaana kwa siku za tarehe 1 ukinunua umeme wa 5000 unapata unit 9, inamaana inakua umenunua umeme wa 3500.

Kinacho sikitisha na kuchosha ni kukatika kwa umeme hovyo, sasa nyie wizara ya nishati hizo hela mnazotukata zinatumika kufanya nini kuboresha miundo mbinu au kulipana posho?
Hiyo siyo kodi ya Jengo ni kodi ya mita za luku , ndio maana hata nyumba ikiwa na mita 5 zote zinakatwa kodi hiyo hiyo
 
Wakuu juzi tu hapa wameongeza tozo za majengo kutoka 1000 hadi 1500 inamaana kwa siku za tarehe 1 ukinunua umeme wa 5000 unapata unit 9, inamaana inakua umenunua umeme wa 3500.

Kinacho sikitisha na kuchosha ni kukatika kwa umeme hovyo, sasa nyie wizara ya nishati hizo hela mnazotukata zinatumika kufanya nini kuboresha miundo mbinu au kulipana posho?
Tozo zinaenda kweny maendeleo mengine, umeme hatuna maji kweny vyanzo! Over
 
Kwani tozo ya jengo inaenda Tanesco??
Au kulalamika ni ugonjwa ambao kila unaemshika Hana jinsi?..
Sasa wanatozaje mahala ambapo hapana ufanisi...na ili iwe nini!??
Kwani na wewe mbona unawatetea sana hawa fisi.
Hata kama unanufaika na mafisadi. Try keep low profile...
Umeme hamna nchi nzima.. f*ck em.
 
Moderator rekebisheni kichwa cha habari wekeni kodi ya mita za luku
 
Hiyo siyo kodi ya Jengo ni kodi ya mita za luku , ndio maana hata nyumba ikiwa na mita 5 zote zinakatwa kodi hiyo hiyo
Hebu nieleweshe ,nyumba ni Moja umepangisha watu .Kila mmoja umemuekea mita yake je ? Kama mita ingekuwa Moja kwenye Hilo jengo wangekata 1500 . Ukaamua Kila vyumba viwili viwili viwe na Mita tuashumu mita zipo 3 Kila mita wanakata 1500?
 
And this is August..
Hamtoboi December nyinyi...
 
Back
Top Bottom