Hivi huko CCM nani ni mwanasiasa Bora?

Hivi huko CCM nani ni mwanasiasa Bora?

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Kwa kipindi kirefu sana ndani ya CCM ili mtu awe mwanasiasa bora ni lazima awe na madaraka. CCM nje ya Madaraka huwezi kuwa bora. Kwa maana nyingine ubora wa wanasiasa wa CCM unatokana na madaraka waliyonayo na wala siyo ubora binafsi.

Kwa sasa ndani ya CCM nani anaweza kusemwa kwamba yeye ndiye mwanasiasa bora?

Mwigulu Nchemba ama Nape Nauye??
 
January Makamba, this guy is IT expert, very eloquent and intelligent. Moreover, he is polite and humble.
 
Kwa kipindi kirefu sana ndani ya CCM ili mtu awe mwanasiasa bora ni lazima awe na madaraka. CCM nje ya Madaraka huwezi kuwa bora. Kwa maana nyingine ubora wa wanasiasa wa CCM unatokana na madaraka waliyonayo na wala siyo ubora binafsi.

Kwa sasa ndani ya CCM nani anaweza kusemwa kwamba yeye ndiye mwanasiasa bora?

Mwigulu Nchemba ama Nape Nauye??
Walikuwepo
Mchonga meno Baba wa Taifa hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere
Waziri wake mkuu Edward Moringe Sokoine
 
Kwa kipindi kirefu sana ndani ya CCM ili mtu awe mwanasiasa bora ni lazima awe na madaraka. CCM nje ya Madaraka huwezi kuwa bora. Kwa maana nyingine ubora wa wanasiasa wa CCM unatokana na madaraka waliyonayo na wala siyo ubora binafsi.

Kwa sasa ndani ya CCM nani anaweza kusemwa kwamba yeye ndiye mwanasiasa bora?

Mwigulu Nchemba ama Nape Nauye??
JamiiForums-139524885_486x371.jpg
 
Kwa kipindi kirefu sana ndani ya CCM ili mtu awe mwanasiasa bora ni lazima awe na madaraka. CCM nje ya Madaraka huwezi kuwa bora. Kwa maana nyingine ubora wa wanasiasa wa CCM unatokana na madaraka waliyonayo na wala siyo ubora binafsi.

Kwa sasa ndani ya CCM nani anaweza kusemwa kwamba yeye ndiye mwanasiasa bora?

Mwigulu Nchemba ama Nape Nauye??
Kwasasa hakuna mwanasiasa bora kama Rais Samia Suluhu na 2025 lazima abebe kombe kwa kishindo
 
Kwa kuwa ana madaraka siyo? Wakati wa Magufuli nani alikuwa anamsifia Samia?
Wakati wa magufuli tulikua tunamuangalia magufuli sana na sasa tunamuangalia mama sana na tumegundua akitoka Nyerere ni Rais Samia Suluhu ambae ameweka record ya maendeleo kubwa ndani ya siku 554
 
Wakati wa magufuli tulikua tunamuangalia magufuli sana na sasa tunamuangalia mama sana na tumegundua akitoka Nyerere ni Rais Samia Suluhu ambae ameweka record ya maendeleo kubwa ndani ya siku 554
Nani kama mama!!

Na hili nalo likatazamwe!!
 
Umeme unakatika sana,
Hiki ndio kipimo chake
January Makamba, this guy is IT expert, very eloquent and intelligent. Moreover, he is polite and humble.
 
Kwa kipindi kirefu sana ndani ya CCM ili mtu awe mwanasiasa bora ni lazima awe na madaraka. CCM nje ya Madaraka huwezi kuwa bora. Kwa maana nyingine ubora wa wanasiasa wa CCM unatokana na madaraka waliyonayo na wala siyo ubora binafsi.

Kwa sasa ndani ya CCM nani anaweza kusemwa kwamba yeye ndiye mwanasiasa bora?

Mwigulu Nchemba ama Nape Nauye??

Freeman Mbowe vs mmawia.
 
Kwa kipindi kirefu sana ndani ya CCM ili mtu awe mwanasiasa bora ni lazima awe na madaraka. CCM nje ya Madaraka huwezi kuwa bora. Kwa maana nyingine ubora wa wanasiasa wa CCM unatokana na madaraka waliyonayo na wala siyo ubora binafsi.

Kwa sasa ndani ya CCM nani anaweza kusemwa kwamba yeye ndiye mwanasiasa bora?

Mwigulu Nchemba ama Nape Nauye??
Tunaye Wasira Masatu
 
Back
Top Bottom