Hivi huku Mbweni wanaishi Watanzania? Haya majengo sio poa


Kunidhulumu hawawezi.
Ila nahisi nitatia aibu na kuaibisga huu mtaa.
Nitaishije na familia yangu katikati ya haya majengo
 
Kwani nyie watibeli mnaishi wapi? Wanaoishi huko ni wale matajiri na wenye connection na DP World
 
Kwanza kabisa tumpongeze mama Doctor Samia kwa kutuwezesha watanzania kujenga nyumba zenye sifa duniani kiasi kuwa ulaya wanatuonea wivu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…