GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kwa tuliobobea Kukaa sana Vijiweni hadi sasa tumeshakomaa na hivi Vijiwe vyetu mbalimbali Jijini mnapokaa utasikia Watu wanaanza kusema kuwa kumbe Nyumba anayoishi Rais wa SADEKI ina Vyumba vingi sana na kwamba huwa halali katika Chumba Kimoja kila siku badala yake huwa anahamishwa hamishwa tu kama sehemu yake ya Kumlinda na Maadui zake.
Na kama haitoshi bado hapo hapo huwa humu humu Vijiweni Kwetu utawasikia tena Watu wakisema kuwa sijui katika Nyumba ya Rais wa SADEKI kuna Handaki moja la chini kwa chini linalotokea hadi katika Maji ya Kihindi yaliyoko jirani nae ili kama pakitokea hatari basi utamsikia yuko kwa Majirani anakunywa zake Kahawa tu.
Haya wana SADEKI Wenzangu karibuni nanyi mtoe hapa uzoefu wenu juu ya haya kwani Vijiweni kuna ‘ Stori ‘ sana tu.
Na kama haitoshi bado hapo hapo huwa humu humu Vijiweni Kwetu utawasikia tena Watu wakisema kuwa sijui katika Nyumba ya Rais wa SADEKI kuna Handaki moja la chini kwa chini linalotokea hadi katika Maji ya Kihindi yaliyoko jirani nae ili kama pakitokea hatari basi utamsikia yuko kwa Majirani anakunywa zake Kahawa tu.
Haya wana SADEKI Wenzangu karibuni nanyi mtoe hapa uzoefu wenu juu ya haya kwani Vijiweni kuna ‘ Stori ‘ sana tu.