Hivi humu JF hamna wachawi?

teh teh, imebidi nicheke tu...umewaza nini hadi kuwaza wachawi hum jf??anza na watu wa kazini kwako..jiulize au waulize km wapo wakuroge km unavyotaka iwe
 
huyu tyta sijui anatoaga wapi hii mipicha!na hii itakuwa katavi hii!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…