Hivi humu JF kuna aliyeishia la 7 kweli?

Acha kuzarau kazi za watu mkuu...je ukienda insta inakuwaje je?member wa insta wengi wao unajua maisha yao ....NEVER UNDERESTIMATE PEOPLE.
 
Sasa wewe watu humu ndio wanakuwa free wewe unasema eti nimemkuta ni mmbaya mara kibao mnamsema humu wao ni wabaya wa sura na tabia Sasa mkiwaita nakuwachora mnafaidikaga Nini??
Njoo unione mie halafu uje uncomment hata mie najua English
 
Mtasababisha watu tuache kuonana aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…