YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,155
- 36,337
We unazo za kutoa?Ndiyo maana wakiombwa hela wanapaniki
Weee k ww. Haya banaMie nalishwa bure na mume wangu, bundle nawekewa....Kazi yangu Kula kulala, na kulala tena.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We unazo za kutoa?Ndiyo maana wakiombwa hela wanapaniki
Weee k ww. Haya banaMie nalishwa bure na mume wangu, bundle nawekewa....Kazi yangu Kula kulala, na kulala tena.
Mkuu kuna wengine Wanatumia Ai Kuchart na iko Automatic na huwa hawali wala kunywa...Ajabu kuona kila time watu wana reply, watu wanachati hadi saa 6 usiku kucha.
Kila mtu ashinde match zake[emoji23]Kwani wamekuomba hela ya kula?
Tutatafuta kesho kutwa usijaliAjabu kuona kila time watu wana reply, watu wanachati hadi saa 6 usiku kucha.