Hivi huu mkutano wa nishati ulipangwa ghafla?

Hivi huu mkutano wa nishati ulipangwa ghafla?

Revolution

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2008
Posts
960
Reaction score
927
Kwa Viongozi wetu wanaoratibu huu mkutano. Hivi huu mkutano ulipangwa ghafla hadi tunawashtukiza wananchi na press release za usiku za kufunga shule kwa siku mbili??

Kwanini huwa hatukai chini na kupanga mipango inayoeleweka? Haikuundwa kamati ya kushughulikia ujio wa wageni na kama iliundwa walikuwa hawakai vikao? Na kama walikuwa wanakaa walikuwa wanajadili nini???
 

Mkutano umeamuliwa toka mwaka jana April, Tanzania ni host tu. Wenye mkutano wao ni world bank, African Development bank; wadau wa maendeleo na private investors.

Kuna $30 billion for grabs, jamaa wame-commit kutoa. Sasa wewe nenda na hoja zako za kumtua mama kuni, badała ya business plan ya umeme uone kama utatoka na kitu.
 
Leo nimejua dissemination ya taarifa iko chini sana hapa nchini kwetu, pamoja na tangazo kuchelewa nimepita shule moja asubuhi wanafunzi wenye uniform wamezagaa.. wengine wanaingia wengine wanarudi baada ya kupewa taarifa hamna shule na wengine ndio wameona fursa ya kucheza na kutorudi nyumbani.

Nikajiuliza tukipata janga kama Taifa jinsi taarifa zinavyochelewa itakuwa majanga, na hapa ni mjini Dar es Salaam huko mikoani sijui hali itakuwaje. Wazazi wa hawa watoto watakuwa hawaangalii luninga, hawasikilizi redio wala hawako kwenye ulimwengu wa dijiti pia hawana mahusiano mazuri na wanajamii wenzao, maana mtoto anatoka nyumbani mpaka shule huku kati watu wote wanaomuona wanauchuna ilhali wakijua anajichosha na kupoteza muda.
 
Leo nimejua dissemination ya taarifa iko chini sana hapa nchini kwetu, pamoja na tangazo kuchelewa nimepita shule moja asubuhi wanafunzi wenye uniform wamezagaa.. wengine wanaingia wengine wanarudi baada ya kupewa taarifa hamna shule na wengine ndio wameona fursa ya kucheza na kutorudi nyumbani.

Nikajiuliza tukipata janga kama Taifa jinsi taarifa zinavyochelewa itakuwa majanga, na hapa ni mjini Dar es Salaam huko mikoani sijui hali itakuwaje.
Huku maporini kote leo ni mapumziko watoto wote wapo nyumbani muda huu, mmoja kafika hapa anaulizwa leo vipi shule anajibu mwalimu kasema leo na kesho hakuna shule
 
Serikali yetu iko sahihi kabisa ili Al Shabab na magaidi wengine wasituletee madhara....

#Usalama wa wageni kwanza!
Sidhani kama umeelewa point yangu. Ninakubaliana na kufunga shule na baadhi ya shughuli, Point yangu ni kwamba...mkutano si ulijulikana mwaka jana kwamba sisi ndio tutakuwa host country wa huu mkutano...kwanini hatukujipanga kuliko kuja kushtukiza wananchi!?? Hiyo ndio hoja yangu.
 
Leo nimejua dissemination ya taarifa iko chini sana hapa nchini kwetu, pamoja na tangazo kuchelewa nimepita shule moja asubuhi wanafunzi wenye uniform wamezagaa.. wengine wanaingia wengine wanarudi baada ya kupewa taarifa hamna shule na wengine ndio wameona fursa ya kucheza na kutorudi nyumbani.

Nikajiuliza tukipata janga kama Taifa jinsi taarifa zinavyochelewa itakuwa majanga, na hapa ni mjini Dar es Salaam huko mikoani sijui hali itakuwaje. Wazazi wa hawa watoto watakuwa hawaangalii luninga, hawasikilizi redio wala hawako kwenye ulimwengu wa digiti..
Raia tuna haki ya kutafuta taarifa....

Huku mitaani watu hupenda kufuatilia taarifa "trivial"....
 
Sidhani kama umeelewa point yangu. Ninakubaliana na kufunga shule na baadhi ya shughuli, Point yangu ni kwamba...mkutano si ulijulikana mwaka jana kwamba sisi ndio tutakuwa host country wa huu mkutano...kwanini hatukujipanga kuliko kuja kushtukiza wananchi!?? Hiyo ndio hoja yangu.
Changamoto za ugaidi na uadui ni kutotoa mwanya kwa hao maadui kujipanga......
 
Sidhani kama umeelewa point yangu. Ninakubaliana na kufunga shule na baadhi ya shughuli, Point yangu ni kwamba...mkutano si ulijulikana mwaka jana kwamba sisi ndio tutakuwa host country wa huu mkutano...kwanini hatukujipanga kuliko kuja kushtukiza wananchi!?? Hiyo ndio hoja yangu.
Kuna madhara makubwa yametokea kwa kutoa taarifa kwa kushtukiza?
 
Kwa Viongozi wetu wanaoratibu huu mkutano. Hivi huu mkutano ulipangwa ghafla hadi tunawashtukiza wananchi na press release za usiku za kufunga shule kwa siku mbili??

Kwanini huwa hatukai chini na kupanga mipango inayoeleweka? Haikuundwa kamati ya kushughulikia ujio wa wageni na kama iliundwa walikuwa hawakai vikao? Na kama walikuwa wanakaa walikuwa wanajadili nini???
Walisahau 😝😅 walifocus kwenye Ukumbi, Chakula, vifaa n.k
 
Kwa Viongozi wetu wanaoratibu huu mkutano. Hivi huu mkutano ulipangwa ghafla hadi tunawashtukiza wananchi na press release za usiku za kufunga shule kwa siku mbili??

Kwanini huwa hatukai chini na kupanga mipango inayoeleweka? Haikuundwa kamati ya kushughulikia ujio wa wageni na kama iliundwa walikuwa hawakai vikao? Na kama walikuwa wanakaa walikuwa wanajadili nini???
Hawaaminiani
Mr. Slim ange inject majasusi wake humo
 
Kuna madhara makubwa yametokea kwa kutoa taarifa kwa kushtukiza?
Sasa mkuu, kama walikuwa na taarifa na wakafanya mipango yote na waka-spam simu zetu kwa matangazo ya 'Summit' mapema tu, kwanini wasiongezea na taarifa zilizobaki. Kuna watu leo biashara zao hazitakaa sawa, ma-HR imebidi wafanye maamuzi ya kufunga ofisi late, watu watapoteza muda, watu watachoma rasimali fedha etc. Mitihani ya baadhi ya vyuo imeahirishwa usiku nk

Kitu ambacho wangesema mapema na wananchi wangepanga mapema
 
Kwa Viongozi wetu wanaoratibu huu mkutano. Hivi huu mkutano ulipangwa ghafla hadi tunawashtukiza wananchi na press release za usiku za kufunga shule kwa siku mbili??

Kwanini huwa hatukai chini na kupanga mipango inayoeleweka? Haikuundwa kamati ya kushughulikia ujio wa wageni na kama iliundwa walikuwa hawakai vikao? Na kama walikuwa wanakaa walikuwa wanajadili nini???
Possibly KUNA SABABU maalum KUBWA NYUMA YAKE.
MKUTANO WA Nishati si wangehudhuria mawaziri WA Nishati? Why Marais and as many as 20?
MIMI siko KWENYE njia zilixotajwa na nilitaka KWENDA kazini KWA SABABU NI KARIBU TU na ninapoishi. BAADA YA kuliana HILO, NIPO NYUMBANI najisomea

Halafu wewe umenifumbua ZAIDI macho, MIMI nilidhani KUWA ULIKUWA umetangazwa ISIPOKUWA isipokuwa mimi sikuwa makini kusikiliza

HALAFU yale mashindano YA CHAN SI NAYO pia yameahirishwa?
 
Leo nimejua dissemination ya taarifa iko chini sana hapa nchini kwetu, pamoja na tangazo kuchelewa nimepita shule moja asubuhi wanafunzi wenye uniform wamezagaa.. wengine wanaingia wengine wanarudi baada ya kupewa taarifa hamna shule na wengine ndio wameona fursa ya kucheza na kutorudi nyumbani.

Nikajiuliza tukipata janga kama Taifa jinsi taarifa zinavyochelewa itakuwa majanga, na hapa ni mjini Dar es Salaam huko mikoani sijui hali itakuwaje. Wazazi wa hawa watoto watakuwa hawaangalii luninga, hawasikilizi redio wala hawako kwenye ulimwengu wa dijiti pia hawana mahusiano mazuri na wanajamii wenzao, maana mtoto anatoka nyumbani mpaka shule huku kati watu wote wanaomuona wanauchuna ilhali wakijua anajichosha na kupoteza muda.
Inabidi tupitishe SHERIA kufikia SAA 2 USIKU TV ZOTE KWENYE bar ZOTE LAZIMA ziswitch KWENYE TAARIFA YA habari na Bar isiyofanya hivyo ifungiwe. Ni watu wanaokuwa kwenye Bar NDIYO HUWA wanakosa TAARIFA kAMA HIZI KWA bahati MBAYA KWA SABABU TAARIFA ya HABARI hawawekewi

NI SWALA LA KUMTONYA TU MH MKUU WA MKOA CHALAMILA
 
Sidhani kama umeelewa point yangu. Ninakubaliana na kufunga shule na baadhi ya shughuli, Point yangu ni kwamba...mkutano si ulijulikana mwaka jana kwamba sisi ndio tutakuwa host country wa huu mkutano...kwanini hatukujipanga kuliko kuja kushtukiza wananchi!?? Hiyo ndio hoja yangu.
 
Hapa umekosea au umefanya makusudi kujaza server za JF?
 
Back
Top Bottom