zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Nchi nzima imepumzika kwa muda kwa usalama zaidi leo na kesho ni km jumapiliSasa mkuu, kama walikuwa na taarifa na wakafanya mipango yote na waka-spam simu zetu kwa matangazo ya 'Summit' mapema tu, kwanini wasiongezea na taarifa zilizobaki. Kuna watu leo biashara zao hazitakaa sawa, ma-HR imebidi wafanye maamuzi ya kufunga ofisi late, watu watapoteza muda, watu watachoma rasimali fedha etc. Mitihani ya baadhi ya vyuo imeahirishwa usiku nk
Kitu ambacho wangesema mapema na wananchi wangepanga mapema
Tatizo lako ni kwamba umesoma kilicho kwenye quote; huja -click link NILIyoWEKA. Ukii-click link niliyokuwekea UTASOMA post yangu na siyo post YA MTU aliyeanzisha thread HII.Hapa umekosea au umefanya makusudi kujaza server za JF?
Tunafanya hivi sasa omba nikufundishe yaan nikupe darasa nafanyaje inakua hivyo na sio vile? Bonyeza linkTatizo lako ni kwamba umesoma kilicho kwenye quote; huja -click link NILIyoWEKA. Ukii-click link niliyokuwekea UTASOMA post yangu na siyo post YA MTU aliyeanzisha thread HII.
Yaan katikati ya jiji marufuku kukanyaga makapuku wenye bodaboda za mkopo, nakubari nakubari25 January 2025
BODABODA MARUFUKU KUINGIA KATIKATI ya JIJI WAGENI wa KIMATAIFA WAKIENDELEA na MKUTANO -MULIRO AELEZA
Yaan katikati ya jiji marufuku kukanyaga makapuku wenye bodaboda za mkopo, nakubari nakubari
Nimesoma IT mpaka KWENYE level AMbAYO NI advanced mno, HUWEZI KUMFUNDISHA KITU. Ukiona nimekupatia link KWA MTINdO HUO, ujue KUNA KITU AMBACHO kimeni-limit nikaamua KUFANYA HIVYOTunafanya hivi sasa omba nikufundishe yaan nikupe darasa nafanyaje inakua hivyo na sio vile? Bonyeza link
Post in thread 'Hivi huu mkutano wa nishati ulipangwa ghafla?' Makanyaga bonyeza hapa uanze kuyakanyaga na haya
Yani mmeamua kuwa magaidi sasa mtulazimishe kuangalia na kusikiliza taarifa ya habari kweli..?Inabidi tupitishe SHERIA kufikia SAA 2 USIKU TV ZOTE KWENYE bar ZOTE LAZIMA ziswitch KWENYE TAARIFA YA habari na Bar isiyofanya hivyo ifungiwe. Ni watu wanaokuwa kwenye Bar NDIYO HUWA wanakosa TAARIFA kAMA HIZI KWA bahati MBAYA KWA SABABU TAARIFA ya HABARI hawawekewi
NI SWALA LA KUMTONYA TU MH MKUU WA MKOA CHALAMILA
lazimaVipi Kwa private sectors zinapiga kazi Leo au?!!!
Ndipo tunapoelekea lakini sababu zisizoeleweka hawatowazuia baada ya hapo walifanya hivyo wakashindwaNaunga mkono ila napendekeza zoezi hili liwe endelevu lisilo na kikomo jijini Dar es Salaam kuzuia kabisa bodaboda na bajaj kuingia kufika maeneo ya mjini kati ziishie Ubungo mataa, Mwenge Stand, Mivinjeni Kilwa Road, Gongo la Mboto Banana, Temeke Kibasila Sekondari School, Kigamboni Navy.
Umeisoma post ya yule niliyekuwa nimemjibu au BADO umelewa HADI mda huu?Yani mmeamua kuwa magaidi sasa mtulazimishe kuangalia na kusikiliza taarifa ya habari kweli..?
ipo siku tutanyukana fimbo heshima ije😂
Sasa unafanyaje kitu km mtoto wa darasa la pili na umesoma IT hivi mfano attached linked links zingekua zimewekwa km unavyoweka wewe pangetosha humu?Nimesoma IT mpaka KWENYE level AMbAYO NI advanced mno, HUWEZI KUMFUNDISHA KITU. Ukiona nimekupatia link KWA MTINdO HUO, ujue KUNA KITU AMBACHO kimeni-limit nikaamua KUFANYA HIVYO
This is just typing, ni madoido TU ya KWENYE typing
Kwa hali ilivyo ya hawa mawaziri wetu .........kumtua mama kuni mtu alipatia PhD sasa unasemaje hawezi kutoka na kitu??..............ile falsafa ya elimu kwa inchi yetu kwa sasa haipo ndio maana mtu akipata wani sherehe ila kwenye maisha anashindwa kuwa mbunifu..................kiongozi msomi anakwambia katafute kazi ujiajili yeye anabaki kuwa mwajiriwaNew Partnership Aims to Connect 300 million to electricity by 2030
WASHINGTON, April 17, 2024 – The World Bank Group and African Development Bank Group are partnering on an ambitious effort to provide at least 300 million people in Africa with electricity access by 2030.www.worldbank.org
Mkutano umeamuliwa toka mwaka jana April, Tanzania ni host tu. Wenye mkutano wao ni world bank, African Development bank; wadau wa maendeleo na private investors.
Kuna $30 billion for grabs, jamaa wame-commit kutoa. Sasa wewe nenda na hoja zako za kumtua mama kuni, badała ya business plan ya umeme uone kama utatoka na kitu.
Ni yale yale ya Mkutano Mkuu CCM ni kama vile hawajui kinachokwenda kutokea ni nini.Kwa Viongozi wetu wanaoratibu huu mkutano. Hivi huu mkutano ulipangwa ghafla hadi tunawashtukiza wananchi na press release za usiku za kufunga shule kwa siku mbili??
Kwanini huwa hatukai chini na kupanga mipango inayoeleweka? Haikuundwa kamati ya kushughulikia ujio wa wageni na kama iliundwa walikuwa hawakai vikao? Na kama walikuwa wanakaa walikuwa wanajadili nini???
Wangefunga maeneo ya jirani na mkutano sio huko mbali mbagala sijui wapiKwa Viongozi wetu wanaoratibu huu mkutano. Hivi huu mkutano ulipangwa ghafla hadi tunawashtukiza wananchi na press release za usiku za kufunga shule kwa siku mbili??
Kwanini huwa hatukai chini na kupanga mipango inayoeleweka? Haikuundwa kamati ya kushughulikia ujio wa wageni na kama iliundwa walikuwa hawakai vikao? Na kama walikuwa wanakaa walikuwa wanajadili nini???
Na hiki kitofali kimemfikia na kwenye risala ile lazima atumbuzie hio ya Rostitamuazizi apige pesa kwenye gesi mpaka 2030 sio poaMpaka leo ujajua tabia ya viongozi kwenda nje ya contexts.
Wataenda huko na hadithi zao miradi ya kusambaza majiko ya gas, wakati mkutano na wawekezaji wamekuja kwa ajili nishati ya umeme.