Niache Nteseke
JF-Expert Member
- Apr 29, 2020
- 2,162
- 2,616
Heshima kwenu wakuu.
Well, nimekuwa nikiskia tu kuwa unapofanya kazi UN mpaka mchumba/mpenzi/mke wako nae ana lipwa kila mwisho wa mwezi.
Leo katika pitapita nikawa napita kwenye website ya UN kuangalia Salaries, Allowances, Benefits and Job Classification nikaona hii kitu hapa...! Hii ina maana gani...?
Nikasema kwa kuwa JF inaguswa na wengi viganjani mwao, nikaona sio mbaya nikiileta hapa jukwaani ili kuweza kufahamu kuhusu hili suala wakuu...!
Thanking you in advance.
🙏🏾
Cc Extrovert.
Well, nimekuwa nikiskia tu kuwa unapofanya kazi UN mpaka mchumba/mpenzi/mke wako nae ana lipwa kila mwisho wa mwezi.
Leo katika pitapita nikawa napita kwenye website ya UN kuangalia Salaries, Allowances, Benefits and Job Classification nikaona hii kitu hapa...! Hii ina maana gani...?
Nikasema kwa kuwa JF inaguswa na wengi viganjani mwao, nikaona sio mbaya nikiileta hapa jukwaani ili kuweza kufahamu kuhusu hili suala wakuu...!
Thanking you in advance.
🙏🏾
Cc Extrovert.