Dialogist
JF-Expert Member
- Apr 14, 2014
- 1,167
- 1,872
Unazungumzia mwezi wa ngapi? March au April?Nimekaa nikawaza hapa , hizi kombora za nyuklia wanazomiliki mataifa makubwa ,wakazitumia kuulipua mwezi
Je mapande yake yataangukia huku duniani ?
Au ikatokea umelipuka wote , mabaki yatabaki huko angani yakielea?
Nawasilisha.
View attachment 3262502