Unazungumzia mwezi wa ngapi? March au April?Nimekaa nikawaza hapa , hizi kombora za nyuklia wanazomiliki mataifa makubwa ,wakazitumia kuulipua mwezi
Je mapande yake yataangukia huku duniani ?
Au ikatokea umelipuka wote , mabaki yatabaki huko angani yakielea?
Nawasilisha.
View attachment 3262502
Kama wataulipua wasubiri kwanza mfungo uishe Kwanza la sivyo tutafunga mpaka tukome.Sasa wakiulipua mkuu huoni akina kobazi watafunga mpk wakome maana kufungua mpaka wauone!..π
Naelewa kile unachotaka kujua hasa, na hata Lengo lako sio baya...Nimekaa nikawaza hapa , hizi kombora za nyuklia wanazomiliki mataifa makubwa ,wakazitumia kuulipua mwezi
Je mapande yake yataangukia huku duniani ?
Au ikatokea umelipuka wote , mabaki yatabaki huko angani yakielea?
Nawasilisha.
View attachment 3262502
Nimecheka sana, ukute ukikuw na wew unaona umewaza sana jambo muhimu.Nimekaa nikawaza hapa , hizi kombora za nyuklia wanazomiliki mataifa makubwa ,wakazitumia kuulipua mwezi
Je mapande yake yataangukia huku duniani ?
Au ikatokea umelipuka wote , mabaki yatabaki huko angani yakielea?
Nawasilisha.
View attachment 3262502
Kweli ganja sio mbayaNAHISI BANGI SI MBAYA BALI MATUMIZI YA BANGI NDO MBAYA
Nimeshangaa kweli,bora ulivojibu kiharaka.aah! kulaleki mkuu mi me acha uzwazwa
Hilo haliwezekaniMabaki mengi yatafuata mzunguko wa dunia kama satellites au Saturn πͺ rings
Ila kuna cases kadhaa vimondo kuangukia bahariniNimecheka sana, ukute ukikuw na wew unaona umewaza sana jambo muhimu.
Anyway kwa sayansi ndogo nijuavyo ni ngumu sana mapande yake kufika duniani, anga lina lea kibao na hizo lea zima kazi tofauti tofauti. Ila moja ya lea za anga ni kuhakikisha hakuna heavenly body inayoweza katisha kwa dunia.
Ndiomana kati ya millions of object lakin dunian kuna vimondo havizid hata kumi vilivyo maarufu, maana vingi huangua na kuteketekea vikikaribia dunia. Ndio vile usiku baadhi ya maeneo au jamii husema vimondo vya wachawi.
Kuna mdau hapo juu ameni quote akiuliza hilo bomu litaulipuaje mwezi au walipuaji waanze kujilipua kwanza? Kwa simple logic tunaweza ku assume hilo bomu linawezekana litengenezwe kwenye maabara za international space station au vifaa vya kuunda hilo bomu vikapelekwa kidogo kidogo hadi mwezini huko vikaundiwe huko huko halafu likafungwa timer. Wataalamu wakishaondoka huko mwezini kitu kinajibu π₯ π π₯π₯π₯π₯
Hakuna teknolojia ya kupiga mwezi mpaka uwe vipande, tunaweza kuuchafua tuu kwa sumu za nuclear na kuacha mashimo tuuKuna mdau hapo juu ameni quote akiuliza hilo bomu litaulipuaje mwezi au walipuaji waanze kujilipua kwanza? Kwa simple logic tunaweza ku assume hilo bomu linawezekana litengenezwe kwenye maabara za international space station au vifaa vya kuunda hilo bomu vikapelekwa kidogo kidogo hadi mwezini huko vikaundiwe huko huko halafu likafungwa timer. Wataalamu wakishaondoka huko mwezini kitu kinajibu π₯ π π₯π₯π₯π₯
Mkuu hali teteKama wataulipua wasubiri kwanza mfungo uishe Kwanza la sivyo tutafunga mpaka tukome.
Poor Brain
Mimi nimeshazoea mkuuMkuu hali tete
mkuuu hatariiiii hukuMimi nimeshazoea mkuu