Hawa wanakimbia mpigano(Vita).Usiombee vita kwani mojawapo ya majanga ya vita ndo kama hayo. Kila mtu anaipigania nafsi yake na umautiKujazana kiasi hiki kunaonyesha hawa wahindi ni masikini au ndo nini? Maana kwa kujazana huku, hiyo Train lazima iende mwendo wa kinyonga kwa usalama wa abiria! Sasa maana halisi ya kupanda chombo cha moto ni nini? Je wana haraka gani mpaka kuhatarisha maisha kiasi hiki? Ebu niambie!View attachment 3073544
Sio Sherehe hizi mkuu!?Kujazana kiasi hiki kunaonyesha hawa wahindi ni masikini au ndo nini? Maana kwa kujazana huku, hiyo Train lazima iende mwendo wa kinyonga kwa usalama wa abiria! Sasa maana halisi ya kupanda chombo cha moto ni nini? Je wana haraka gani mpaka kuhatarisha maisha kiasi hiki? Ebu niambie!View attachment 3073544
La hasha. Ukikagua/Tathmini (assess)yanayojitokeza hapo kwenye picha utagundua kwamba:Sio Sherehe hizi mkuu!?
Picha zinasema Mengi sana ..La hasha. Ukikagua/Tathmini (assess)yanayojitokeza hapo kwenye picha utagundua kwamba:
1. Wapo wnaosali (taz. walioshika masikio) ili mungu wao awanusuru na hali iliyowakuta, hakuna mwenye uso wa furaha hata mmoja.
2. Wapo wanaoonesha kukerwana wanyo hasira ya kisasi Taz waliopo juu kabisa wamenyosha mikono kana kwamba wanalaani na wamebeba bendera kuashiria mshikamano
3.Wengi wa abiria wamevaa kanda mbili au kobazi kitu ambacho sio kawaida kuvaliwa kwenye sherehe na wanaonekana ni umri wa kati 35- 50yrs old.
4. Wengi (karibu wote) wamevaa baraghashia i.e. ni wanaume hakuna Ke anayeonekana hapo (labda wapo ndani na watoto)
5. Waliopo chini ni kama wanajiuliza hatimayao itakuwaje kama usafiri ndo huo? na hakuna mbadala labda inawabidi wasubirie usafiri mwingine ambao nao haujulikani utakuja kivipi......
Kweli kabisa. Ila kwa uhakika 100% wahusika wako katika hali sio ya amani wala nzuri.Picha zinasema Mengi sana ..
Kweli mkuu ...Kweli kabisa. Ila kwa uhakika 100% wahusika wako katika hali sio ya amani wala nzuri.