Hivi huu udwanzi wa 'Cover' kauleta nani?

Mbn hata wasanii wakubwa wanaotunga nymb zao hufanya cover z wasanii wengine m nafkiri nimapenzi tu
 
Na utakuta wngen wanfanya cover vzr kushnd ht mwenye nyimbo yke
 
Huo udwanzi wa cover watakuwa wameuleta wadwanzi tu.
 
Mbona cover ni kitu cha kawaida huku bongo ndo tumesikia now.
Kasikilize cover ya helo wa Adele akiuimba JOE THOMAS
 
All of me - John Legend, reggae cover ya Iyah Cure ni nzuri sana.
 
We jamaa kumbe mshamba....
 
nami nampango wa kuandaa cover za nyimbo ambazo kombA alimuimbia bb wa taifa pale taifa wakat wa kumuaga
 
Kuna Cover na Parody....ila huku kwetu (bongo) naona kama hakuna utaratibu maalumu, matokeo yake kila anayeibuka anafanya kile anachotamani.

Sijui sheria zetu za haki miliki zinasemaje ila nijuavyo kufanya Cover mtu unahitaji kufanya makubaliano maalum na wanaomiliki haki za wimbo husika....eidha kwa malipo au bure...ni juu yenu.

Tofauti na Parody ambayo hufanywa kwa lengo la kutania/kuchekesha kwa kutumia mirindimo, melody inayofanania ila lyrics ni za kwako...na kwa maeneo mengi huwa sio lazima kupata ruhusa ya mwenye haki miliki ya wimbo.
 
Kwani inatakiwa original ukae muda gani ndio ifanyike COVER,ili isiwe "udwanzi" ?????????
 
Yule jamaa alieshinda milioni 50 Kule BSS alafu hela yake yote akaenda kununua motokaa yeye kagoma kabisa kutoa nyimbo zake kila siku anadondosha Cover tu naona hivi karibuni ataweka na housing kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…