Huwezi ukamweka benchi maharage wakati anajua siri zote za uchapaji wa hela TANESCO unaofanywa na viongozi wa chama na serikali.Mzee mbona madanguro, Maclub, vilabu vya pombe, guest houses, hotels, mabar, betting companies pia na misikiti nayo inaongezeka.
Alafu Zanzibar gani? Mbona Pwani kuna misikiti Mingi na wizi upo? Mbona Zanzibar huko ndio kunaongoza kwa ufiraji na ushoga?
Kwanini kila siku Kanisa tu? Tupumzisheni, tujadili hata issue za Bandari au lah, tuongelee uteuzi wa Maharage aliyeshindwa TANESCO akapelekwa TTCL.
Huyo juha mwenzako kakubania hapo. Hakuna idadi, na aya za Qur'an umeziweka mwenyewe, ukitaka mia, ukitaka elfu ni raha zako tu. Eti 72.Allah alitoa ahadi ya mabikra 72 kwa Wanaume wa Kiislam watakaoingia peponi na kutotoa ahadi yeyote ile kwa Wanawake wa Kiislam ila hajasema wanawake wa kiislam watakaoingia peponi watapewa nini.
Sunan Ibn Majah Juzuu ya 5, Kitabu cha 37, Hadithi 4337—“Abu Umama amesimulia: “Mtume wa Allah swt amesema, ‘Kila ambaye Mwenyezi Mungu atamuingiza Peponi ataoa wake 72;
Sunan Ibn Majah Volume 5, Book 37, Hadith 4337—“Abu Umama narrated: "The Messenger of God said, 'Everyone that God admits into paradise will be married to 72 wives; two of them are houris and seventy of his inheritance of the female dwellers of hell. All of them will have libidinous sex organs and he will have an ever-erect penis.”
Quran 56:28-37: We have created (their Companions) of special creation. And made them virgin - pure (and undefiled), - Beloved (by nature), equal in age,-
Quran 37:48-49:
And with them shall be those who restrain the eyes, having beautiful eyes; As if they were eggs carefully protected.
“...they shall have therein Azwajun Mutahharatun (purified mates or wives), (having no menses, stools, urine, etc.) and they will abide therein forever.” This means God will provide pure women for men to have sex with in Paradise
Huyo juha mwenzako kakubania hapo. Hakuna idadi, na aya za Qur'an umeziweka mwenyewe, ukitaka mia, ukitaka elfu ni raha zako tu. Eti 72.
Maraha yanakukosa hayo, hutoiona pepo. Pole sana. Labda utoke kwenye ukafikiri na urudi kwenye nuru ya Allah.
Hata Elon Musk anakutengenezea unaetaka, pesa zako tu, hawaingii mwezini, hawaendi chooni, unawafanya utakavyo wewe. Sikioni cha ajabu hapo.
View attachment 2762060
Kila mtu anaenda kivyake bwana style yake wajinga ndio waliwaoUliloanzisha wewe unadanganya unawapatia watu upako wakati hata wewe mwenyewe huna huo upako. Labda nguvu za uganga
Hakuna idadi, kwa raha zake. Hiyo 72 ya wajinga ndiyo waliwao.Kwahiyo faiza foxx Baba yako mzazi atapewa wanawake zaidi ya 72 huko kwenye pepo ya allah?
Je mama yako mzazi atapewa nini? Midume 72 imkune au?
Aahaaaaa,hiyo paragraph ya mwisho nimecheka sanaMi nilikili wingi wa makanisa uendane na kubadilisha tabia za waamini wao. Hebu fikiri hapa dar wizi, udokozi, ujambazi unaongeza daily na watu wanashinda makanisani, au kanisa ni fashion tu. I'm sure hata padre, askofu mchungaji akiipata fursa ya kuiba lazima aitumie kama ilivyokuwa kipindi Cha ascrow akina kilaini na euzebius.
Kwa Nini zanzibar hamna wizi kabisa au tuamini ukristo siyo dini ya mungu? Zanzibar ukidondosha hata wallet Ina pesa mtu anaokota anakurudishia au anatangaza radioni.
Nenda kule Arusha na moshi ambao ndo waasisi wa ukristo au ukristo ndo mwingi unaweza kuchinjwa mchana kweupe hasa wakikuona una hela mfukoni
Aahaaaaaa,inakuwa Yale yaleHuyo huyo anayekuokotea hela yako akiishaikabidhi anaelekea kubandiliwa kinyume na maumbile. Kazi kweli
Allah alitoa ahadi ya mabikra 72 kwa Wanaume wa Kiislam watakaoingia peponi na kutotoa ahadi yeyote ile kwa Wanawake wa Kiislam ila hajasema wanawake wa kiislam watakaoingia peponi watapewa nini.Huyo juha mwenzako kakubania hapo. Hakuna idadi, na aya za Qur'an umeziweka mwenyewe, ukitaka mia, ukitaka elfu ni raha zako tu. Eti 72.
Maraha yanakukosa hayo, hutoiona pepo. Pole sana. Labda utoke kwenye ukafikiri na urudi kwenye nuru ya Allah.
Hata Elon Musk anakutengenezea unaetaka, pesa zako tu, hawaingii mwezini, hawaendi chooni, unawafanya utakavyo wewe. Sikioni cha ajabu hapo.
View attachment 2762060
Kweli ni laana kutokwenda kufanya ngono na mabikra 72.ukafir ni laana tuuepuke
Na wale wanaofanywa hivyo makanisani utawaita nani ?? niambie tokea ulifahamu kanisa ni nani towashi ndani ya kanisa lenu ??Acha upotoshaji Yesu alikua anongelea matowashi-hanisi waiso na uwezo wa kuzalisha.
Kwani ni uongo hakuna watu wanazaliwa bila uwezo huo?
Maana wako matowashi waliozaliwa hali hiyo toka matumboni mwa mama zao; tena wako matowashi waliofanywa na watu kuwa matowashi; tena wako matowashi waliojifanya kuwa matowashi kwa ajili ya ufalme wa mbinguni. Awezaye kulipokea neno hili, na alipokee.
Mathayo 19:12
Zanzibar ipi inaongelewa hapa...Mi nilikili wingi wa makanisa uendane na kubadilisha tabia za waamini wao. Hebu fikiri hapa dar wizi, udokozi, ujambazi unaongeza daily na watu wanashinda makanisani, au kanisa ni fashion tu. I'm sure hata padre, askofu mchungaji akiipata fursa ya kuiba lazima aitumie kama ilivyokuwa kipindi Cha ascrow akina kilaini na euzebius.
Kwa Nini zanzibar hamna wizi kabisa au tuamini ukristo siyo dini ya mungu? Zanzibar ukidondosha hata wallet Ina pesa mtu anaokota anakurudishia au anatangaza radioni.
Nenda kule Arusha na moshi ambao ndo waasisi wa ukristo au ukristo ndo mwingi unaweza kuchinjwa mchana kweupe hasa wakikuona una hela mfukoni
Ni kweli ,Ulichopost ndiyo maana swedeni walichoma Quran maana uislamu siyo dini ni ugaidi.
We are both deeply committed Christians so it would be unthinkable for me not to do it in church and not to do it with the congregation and with all of our friends.’
‘My goal is for everyone within the church to feel comfortable with the situation because at the moment the majority of gay Christians marry secretly.
Ile iliyovamiwa na NyerereZanzibar ipi inaongelewa hapa...
La Ethiopia , Na kidogo la EgyptSawa kwani kanisa gani sio biaahara
Kwamba Haina wizi na makorokocho mengine..... !!?? Kama ndivyo alivyosema kuhusu ..basi ...Ugonjwa wa akili upoIle iliyovamiwa na Nyerere
Zanzibar Ile ya Mfalme , ilikuwa haina wizi , lakini hii iliyovamiwa na kujazwa watanganyika, kuanzia hao vibaraka wanaowekwa Dodoma mpaka chini ni mbio tu za kuiba , wanaanzia na kuiba uchaguzi kwa kuuwa watuKwamba Haina wizi na makorokocho mengine..... !!?? Kama ndivyo alivyosema kuhusu ..basi ...Ugonjwa wa akili upo
🤣🤣🤣🤣🤣....siku hizi wanaliwa kweli kweliKila mtu anaenda kivyake bwana style yake wajinga ndio waliwao