Hivi huwa mnatumia vigezo gani kuthibitisha kuwa fulani ni mchawi au analoga?

Sasa kama mtu hakupi salamu, asubuhi asubuhi amenuna, akiulizwa kitu kiko sehemu gani, anatoa ishara kwa kuuvuta mdomo. Utashindwaje kumtuhumu uchawi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…