proton pump JF-Expert Member Joined Apr 30, 2017 Posts 6,814 Reaction score 10,104 Jan 21, 2023 #21 Wagumu Tunadumu said: Wachaw ndo huwa wanauza siri za wenzao,kwahyo na sisi wanazengo tunapitia humo humo Ila wachawi wengi wana sifa hz:- -wanapenda kusali sana -Wanajitoa sana kusaidia wenzao -ni wepesi kumzoea mtu -ni watu masikini Click to expand... No.1 umepatia
Wagumu Tunadumu said: Wachaw ndo huwa wanauza siri za wenzao,kwahyo na sisi wanazengo tunapitia humo humo Ila wachawi wengi wana sifa hz:- -wanapenda kusali sana -Wanajitoa sana kusaidia wenzao -ni wepesi kumzoea mtu -ni watu masikini Click to expand... No.1 umepatia
Melki Wamatukio JF-Expert Member Joined May 3, 2022 Posts 6,156 Reaction score 10,974 Jan 21, 2023 #22 Sasa kama mtu hakupi salamu, asubuhi asubuhi amenuna, akiulizwa kitu kiko sehemu gani, anatoa ishara kwa kuuvuta mdomo. Utashindwaje kumtuhumu uchawi?
Sasa kama mtu hakupi salamu, asubuhi asubuhi amenuna, akiulizwa kitu kiko sehemu gani, anatoa ishara kwa kuuvuta mdomo. Utashindwaje kumtuhumu uchawi?