Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Alafu ndo nn kufunga PMWala hata usiumie wala nini anaibiwa mtu hapo aache angalau hela ya miguu ya kuku asubuhi na chapati 2,.
Kunyimana ridhiki tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alafu ndo nn kufunga PMWala hata usiumie wala nini anaibiwa mtu hapo aache angalau hela ya miguu ya kuku asubuhi na chapati 2,.
Ohoooo!!!Ndio shida ya kukaa uswazi...Tafuta nyumba nzima inayojitegemea,kupanga na watu wa aina tofauti tofauti ndio shida,wengine wasukuma mikokoteni na wabeba mizigo kariakoo wakikamata demu mpaka papuchi inawaka moto.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nunua sabuni weka ndani mkuu mbona simple
Unawapangia watu wkt huwalipii kodi?Kutooa sio sababu ya kupigiwa makelele. Kwani show haiwezi kwenda kimya?
Wanakuwa wako kwenye ndoto,hayo ni mang'amu ng'amu.ni style za kukoroma tuu.hata wao nao wanakusikiaga wewe kwa unakoloma kwa design nyingine.Acha mawazo ya kijinga bro piga usingiziWadau naomba msaada juu ya hili, maana kuna madada wengine wakiwa kwenye game huwa ni kero. Yaani unakuta mnaishi nyumba ya watu wengi alafu kila mtu na habari zake, huyu katoka shamba, gulioni, kwenye biashara nk. halafu unakuta usiku muda wa kulala ukifika usumbufu unaanza miguno na milio ya kila aina inasikika mpaka inakuwa kero.
Sasa huwa ni utamu au mbwembwe tu?
Panga meza alafu panda juu wachungulie ukiweza angukia walipo tuWadau naomba msaada juu ya hili, maana kuna madada wengine wakiwa kwenye game huwa ni kero. Yaani unakuta mnaishi nyumba ya watu wengi alafu kila mtu na habari zake, huyu katoka shamba, gulioni, kwenye biashara nk. halafu unakuta usiku muda wa kulala ukifika usumbufu unaanza miguno na milio ya kila aina inasikika mpaka inakuwa kero.
Sasa huwa ni utamu au mbwembwe tu?
Ni tamu ndio, tamu sanaWadau naomba msaada juu ya hili, maana kuna madada wengine wakiwa kwenye game huwa ni kero. Yaani unakuta mnaishi nyumba ya watu wengi alafu kila mtu na habari zake, huyu katoka shamba, gulioni, kwenye biashara nk. halafu unakuta usiku muda wa kulala ukifika usumbufu unaanza miguno na milio ya kila aina inasikika mpaka inakuwa kero.
Sasa huwa ni utamu au mbwembwe tu?
Kaonja sanaHapana. Mama yako alishaonja?