Hivi, huwa ukiongea peke yako unaongea na nani?

Nimeelewa
 
Nadhani huwa naongea na nafsi yangu
Najiuliza na kujijibu

Pia muda mwingi nadhani naongea na Roho mtakatifu..amekuwa akiniambia Mambo mengi

Kuna muda huwa yananijia mawazo miwili mkinzank

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Mshana Jr Asante kwa fundisho lako
Kuna jambo bado linanitatiza, kipindi niongeapo mwenyewe, kuna mawazo ya mtu fulani hunijia; hua nazungumza juu ya uhalisia wa maisha yetu tulivyo sasa na kipindi cha nyuma.

Baada ya muda fikra hasi kuhusu yeye hutawala na mdahalo kuisha, ila mara tu baada ya kuacha kuwaza, hua ananipigia simu au kunitumia sms na mazungumzo ya kawaida kuendelea.

Kwanini hicho kitu hutokea maana ni mwaka wa pili sasa hunitokea?
 
Haya ni mawasiliano ya kiroho.. Una kitu kinaitwa foreseen.. Wengi tuna hiyo hali lakini kwa viwango tofauti tofauti

Jr[emoji769]
 
Naunga mkono hoja,napiga story nyingi sana alone kichwani.vikizidi mikono huhusika na badae napiga story tu kwa sauti nipo alone hapo njiani mpk najistukia km ha naongea peke yangu.
Maisha tunapitia mengi sana
 
Kwa mtazamo wa psychology wa sigmund Freud's tunatawaliwa na mambo haya 3, upande mmoja unaposhindwa kufanya maamuzi unaathiri UPANDE mwingine.
 
 
Kwa mtazamo wa psychology wa sigmund Freud's tunatawaliwa na mambo haya 3, upande mmoja unaposhindwa kufanya maamuzi unaathiri UPANDE mwingine.View attachment 1530440View attachment 1530445
Kwa mtazamo wa psychology wa sigmund Freud's tunatawaliwa na mambo haya 3, upande mmoja unaposhindwa kufanya maamuzi unaathiri UPANDE mwingine.[emoji1545][emoji1545][emoji1545]
 
“So, now I shall talk every night. To myself. To the moon. I shall walk, as I did tonight, jealous of my loneliness, in the blue-silver of the cold moon, shining brilliantly on the drifts of fresh-fallen snow, with the myriad sparkles. I talk to myself and look at the dark trees, blessedly neutral. So much easier than facing people, than having to look happy, invulnerable, clever. With masks down, I walk, talking to the moon, to the neutral impersonal force that does not hear, but merely accepts my being. And does not smite me down.”

 
Roho zinazotangatanga zinahusika sana hapa na sometimes mambo ya kishirikina
Mkuu Mshana samahani kuingilia Mada jana Usiku nimeota niko Uchi kabisa kuna jirani yangu ni mtu mzima tena tunaheshimiana na ana pesa sana kakaa kwenye kiti mimi nikaja pembeni yake nimeinama huku mbele yuko mke wake kasimama kama katupusha tuongee kiukweli nimeogopa sana nine Tafsiri yake? Nitashukuru
 
Takurudia usijali
 
Hapa ni kwa vile binadamu ana utashi na mnyama ni hayawani
Tuna tabia tunapoudhiwa kuwaita wengine hayawani! Ni kwa vile tu hatujawaza vema lakini kumuita mtu hayawani ni kukosoa uumbaji kwakuwa hayawani ni mnyama
hayawani maana yake ni nini,au limetokana na neno gani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…