hamza mahundu
Member
- Dec 20, 2018
- 58
- 116
Kuna mazingira kama haya, umekopa pesa kwa mtu uizungushe ikaferi, matarajio ulipe Kodi, mama mwenye nyumba ulishamuahidi MWEZI WA 10 tarehe 18 unampatia pesa yake leo tarehe 2. Aiseeee na ingebidi MWEZI uliopota umalize deni.
Maokoto zero kula kwenyewe kumekuwa kwa tabu saaana, kulala njaa kawaida.
Fikiria ni wewe? Unajitoaje hapo
Maokoto zero kula kwenyewe kumekuwa kwa tabu saaana, kulala njaa kawaida.
Fikiria ni wewe? Unajitoaje hapo