CORAL
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 2,813
- 1,827
alikuona mzinguaji ndo maana. na hii hali wanaume wengi mnaipenda ee sijui huwa mnawaza nini, mkiambiwa na mabint kuwa mnapendwa huwa mnaleta pozi sa sijui huwa mnawaza nini.
Ebu wapashe bibie!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
alikuona mzinguaji ndo maana. na hii hali wanaume wengi mnaipenda ee sijui huwa mnawaza nini, mkiambiwa na mabint kuwa mnapendwa huwa mnaleta pozi sa sijui huwa mnawaza nini.
huyu kweli ni wa kutiwa moyoni! kutongoza hawezi akitongoza anaringa... jipange upya hiyo kibarua ilishaacha majani!
Asee...Ndugu yangu niliona kama atanichukulia kuwa naweza kuingizwa mtegoni na mtoto wa kike kirahisi!
Nimekushangaa sana.. Unajua huyo dada mpaka kukwambia kama anakupenda ni kwamba alivumilia akashindwa ndio maana akaamua kupasua jipu... Sasa wewe unadhani alijisikiaje ulivyomkatalia?? Nahisi ameshapata anayempenda maana wewe ulimtolea nje..
Ebu wapashe bibie!