Hivi huyu Aristote anajihusisha na Saluni tu au Danguro lile?

Hivi huyu Aristote anajihusisha na Saluni tu au Danguro lile?

Usiseme wote. Wanaokubali kurecordiwa wanakata mauno ndo mapunguani. Wengine viuno vigumuuu wanajidhalilisha tu.
Sasa hivi mtu yuko radhi ajichange akanunue nywele kwa Aristote ilimradi apostiwe tu anakata viuno. Rubbish
Hivi wanawake mnakwama wapj ?

Serious ,unaenda nunua nywele wakati una nywele kichwani mwako .

Kwanini hizo gharama za malaki laki mtu afanye juhudi za kukuza nywele zake [emoji2]
 
Back
Top Bottom