ila kuna mwanaume m-binafsiHAKUNA MWANAMKE HAPA.
Kuna njia za kufikia suluhisho la haya anayoyasema.Huyu mwanamke anakosea kuyaanika haya. Je vipi huyu anaeng'ang'ania mali za familia wakati watoto wanahitaji kuishi?
Kuna wanaume wanaachana na wake zao wanaacha magorofa for the sake of the kids.
Hatari lakini salamaWachaga nao watu basi
Ndo uanaume huoJamaa kauzu balaa na mapigo yote ya upande wa pili hajajibu chochote tu?
Hii nimeipenda sana, sugu pia alitakiwa kuwa kama huyuJamaa kauzu balaa na mapigo yote ya upande wa pili hajajibu chochote tu?
Nimeanza na kusema 'huyu mwanamke anakosea'.......sasa hapa ndio inabidi mwanaume aoneshe tofauti yake na huyu mwanamke. Wagawane mali gani na huyo alikuwa analelewa tu. Mali za huyo dada mropokaji. Ukikubali kulelewa kuwa mpole.Kuna njia za kufikia suluhisho la haya anayoyasema.
Kama washaamua kuachana kinachofuata ni kugawana mali, mali huwa hazigawanywi instagram hiyo ni kazi ya mahakama.
Kwa kazi anayofanya atakua amefikia lengo la kuwaonesha na kuwafundisha wanawake wenzake suluhisho la mwanaume mng'ang'ania mali bila kujianika instagram.