Hivi huyu jamaa wa kujiita maarifa anaimba nini?

Hivi huyu jamaa wa kujiita maarifa anaimba nini?

Oya wana kibaha eeeh!! Em njooni apa.
Hivi hii ndio finest yenu?
Yani kibaha nzima hakuna msanii wa maana mkaamua mtuletee huyu maarifa??

Ana maarifa gani? Anaimba utumbo gani?
Kuna mtu anamuelewa kabisa huyu jamaa wa kujiita maarifa?
Bora iwe.
 
Mbona anafanya poa sana. Karibu kibaha, ukiniacha ni nyimbo bora sana pamoja na ile remix yq dhahabu ya Dully Sykes jamaa anajua sana.
 
Anaimba hivi'karibuni huku kibaha eeenh mje mnione super star wa mwanalugali eeenh sijui chidy benzi rapa mkali ila madee bora zaidi,
 
Back
Top Bottom