King Kong III JF-Expert Member Joined Oct 15, 2010 Posts 56,205 Reaction score 79,515 Dec 9, 2022 #21 February Makamba said: Oya wana kibaha eeeh!! Em njooni apa. Hivi hii ndio finest yenu? Yani kibaha nzima hakuna msanii wa maana mkaamua mtuletee huyu maarifa?? Ana maarifa gani? Anaimba utumbo gani? Kuna mtu anamuelewa kabisa huyu jamaa wa kujiita maarifa? Click to expand... Bora iwe.
February Makamba said: Oya wana kibaha eeeh!! Em njooni apa. Hivi hii ndio finest yenu? Yani kibaha nzima hakuna msanii wa maana mkaamua mtuletee huyu maarifa?? Ana maarifa gani? Anaimba utumbo gani? Kuna mtu anamuelewa kabisa huyu jamaa wa kujiita maarifa? Click to expand... Bora iwe.
Blank page JF-Expert Member Joined May 28, 2015 Posts 5,487 Reaction score 4,817 Dec 9, 2022 #22 Mbona anafanya poa sana. Karibu kibaha, ukiniacha ni nyimbo bora sana pamoja na ile remix yq dhahabu ya Dully Sykes jamaa anajua sana.
Mbona anafanya poa sana. Karibu kibaha, ukiniacha ni nyimbo bora sana pamoja na ile remix yq dhahabu ya Dully Sykes jamaa anajua sana.
Smart Contract JF-Expert Member Joined Sep 24, 2014 Posts 1,158 Reaction score 2,847 Dec 9, 2022 #23 Scars said: Hizi ndio biashara, kwa hiyo business sio izzo... Sio masihara, huwa siigizi hata kwenye igizo... Click to expand... Anafosi vina anapoteza maana, sasa hapo ndo kaongea maarifa gani
Scars said: Hizi ndio biashara, kwa hiyo business sio izzo... Sio masihara, huwa siigizi hata kwenye igizo... Click to expand... Anafosi vina anapoteza maana, sasa hapo ndo kaongea maarifa gani
njumu za kosovo JF-Expert Member Joined Mar 9, 2017 Posts 3,820 Reaction score 9,625 Dec 10, 2022 #24 Anaimba hivi'karibuni huku kibaha eeenh mje mnione super star wa mwanalugali eeenh sijui chidy benzi rapa mkali ila madee bora zaidi,
Anaimba hivi'karibuni huku kibaha eeenh mje mnione super star wa mwanalugali eeenh sijui chidy benzi rapa mkali ila madee bora zaidi,
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Dec 10, 2022 #25 Mambo yake muachieni mwenyewe...
February Makamba JF-Expert Member Joined Jan 31, 2020 Posts 2,151 Reaction score 2,983 Dec 12, 2022 Thread starter #26 Smart911 said: Mmabo yake muachieni mwenyewe... Click to expand... Yakwake mbona anatuachia sisi?