Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
- Thread starter
-
- #21
Nyonyoma kwa mbali, baadhi ya clips zake ni nzuri. Pia watu wa cheka tu huwa wanaotea punchlines hapa na pale. Ukweli ni kuwa sekta ya comedy bongo haina tofauti na wenzao wa bongo movie. Contents zao za kitoto sana.Mtoa mada, kwa hapa Bongo ni yupi anae kuchekesha?
Hamna kitu hapo,,Mi naonaga tu ana maneno mengi lakini sioni uchekeshaji wowote. Yupo kama Kevin Hart, umachachari mwingi lakini content hamna.
Sasa hapa lengo lilikuwa kuchekesha, japo kazingua hapo kuingiza katiba lakini hata kuchekesha kwenyewe hakupo.
Huwa anawachekeshaje?
Nakuunga mkono,. Jirani zetu wakenya wametukalisha sana kwenye hiki kipengele. Njugush is the best to me.. you can explore him when you've time mkuuTanzania hakuna wachekeshaji
Hata Crazy Kennar amewaacha mbali kabisa wakongwe wa bongo.Nakuunga mkono,. Jirani zetu wakenya wametukalisha sana kwenye hiki kipengele. Njugush is the best to me.. you can explore him when you've time mkuu
Ukitaka kucheka labda mtafute king'wendu huyu ameshaishiwaMi naonaga tu ana maneno mengi lakini sioni uchekeshaji wowote. Yupo kama Kevin Hart, umachachari mwingi lakini content hamna.
Sasa hapa lengo lilikuwa kuchekesha, japo kazingua hapo kuingiza katiba lakini hata kuchekesha kwenyewe hakupo.
Huwa anawachekeshaje?
Walau brother KMtoa mada, kwa hapa Bongo ni yupi anae kuchekesha?
Asaa Njugush hata asipo kua na content lazima utacheka tu [emoji3][emoji3][emoji3], pia ukitaka ujue hicho kijamaa huwa kinatulia kwenye kazi zake, angalia matangazo yake yametulia balaa.Nakuunga mkono,. Jirani zetu wakenya wametukalisha sana kwenye hiki kipengele. Njugush is the best to me.. you can explore him when you've time mkuu
Huwa hana content, anategemea michoro ya usoni, mavazi yale malapulapu oversize na kuvaa nguo za kike, mawigi na manyonyo ya kupachika.Mi naonaga tu ana maneno mengi lakini sioni uchekeshaji wowote. Yupo kama Kevin Hart, umachachari mwingi lakini content hamna.
Sasa hapa lengo lilikuwa kuchekesha, japo kazingua hapo kuingiza katiba lakini hata kuchekesha kwenyewe hakupo.
Huwa anawachekeshaje?
Witnessj unachekaga kabisaaa [emoji848][emoji16]
Anataka ute uziMi naonaga tu ana maneno mengi lakini sioni uchekeshaji wowote. Yupo kama Kevin Hart, umachachari mwingi lakini content hamna.
Sasa hapa lengo lilikuwa kuchekesha, japo kazingua hapo kuingiza katiba lakini hata kuchekesha kwenyewe hakupo.
Huwa anawachekeshaje?
In short, he's giftedAsaa Njugush hata asipo kua na content lazima utacheka tu [emoji3][emoji3][emoji3], pia ukitaka ujue hicho kijamaa huwa kinatulia kwenye kazi zake, angalia matangazo yake yametulia balaa.
Namna anavyo zitangaza bidhaa jumlisha na utani unalipenda tangazo.
Umemjaji kwa clip moja tu kwa sababu akili yako imetawaliwa na siasa za Chadema[emoji38]Mi naonaga tu ana maneno mengi lakini sioni uchekeshaji wowote. Yupo kama Kevin Hart, umachachari mwingi lakini content hamna.
Sasa hapa lengo lilikuwa kuchekesha, japo kazingua hapo kuingiza katiba lakini hata kuchekesha kwenyewe hakupo.
Huwa anawachekeshaje?