nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,379
Sio kila mmoja ana nafasi ya kumjua Jide personally...lakini wengi wetu kwa mamilioni tunamjua kwenye media..kwa hiyo ni bora a'behave kwenye media tunakomjua wengi kuliko wenye bahati ya kumjua personally.
Mtanzania jiamin na simama mwenyewe . Haya mambo ya ziara ya wasanii kwan ndo sifa ya kuwa mashuhur.???? Tumia akil yako simama ww kama ww.
Ukiona msanii kashirikishwa kwenye kuwania tunzo ujue kakubali na ambao hawataki huwa wana jitoa na kusema wazi.
Mfano Dully Sykes
Ukimjua jide personally ni tofauti kabisa na unavyomjua kwenye media...
Hivi dada ...samahani ... Wewe ni Meneja labda? Wa msanii yoyote hapa Tz?
Hivi dada ...samahani ... Wewe ni Meneja labda? Wa msanii yoyote hapa Tz?
Na angejua usanii na dharau ni vitu viwili tofauti kabisa...msanii lazima uwe mnyenyekevu kwa watu maana hujui nani fan wako....Jide ana dharau mpaka kwenye biashara yake ya mgahawa....nina experience hiyo na rafiki yangu ali experience the same...mwenyewe anasema sijuhi family...kuna family kwenye biashara....Ngoja kina Diamond wamfunike ndio atatia akili....
Wrote wanao mponda komando,wana wivu tu kwanza kiwango chake ni cha kimataifa hababaishwi name vituzo vya kuuzia magazeti.BIG UP JIDE WW SONGA MBELE HIZO NI KELELE ZA CHURA TU,MAJI YAKIISHA WATANYAMAZA
Ana dharau yule mdada hadi namchukia sana sikuhizi..
Tulimpigia kura nyingi ili tuzo ziende kwake kufanya wasanii wengine waone kumbe yawezekana kufanya mziki bila promo ya mawingu na kupata tuzo lakini yeye kama msanii tuliempigania kwa kura alitundondosha kwa kuto kuja píli na maneno anayotoa katika mitandao ya kijamii hata shukrani kwa wapiga kura hajatoa Sana Sana anauliza eti tuzo zimefanyika lini huuu ni ukosefu wa ufanisi na umakini kama msanii mkubwa na mkongwe lazima tuseme hapa umekosea Sana katika hili basi anaconda kama hutaki kushiriki tuzo hizi toa walaka basi kama wakipindi kile watu tujue.
Sent from my BlackBerry 9380 using JamiiForums
Thats the big issue na hatokaa aache bila kupata mshauri wa kisaikolojia na hata akimpata kama kile kinachomkosesha raha hakipatati she will never change... Hata mashabiki wakimsusa hiyo haitabamdilisha mitazamo yake.
Jide ni mtu wakukaa na kitu moyoni ukimkera hata akikusamehe hasahau, na atafanya kile kinachompa amani ya moyo wake na sio kufurahisha kila mtu atakama anajijua yuko wrong.
Hivi JD ni nani vile, mie simjui basi wekeni picha
mama ntilie mmoja hivi maeneo ya kinondoni moroco nyuma ya bank ya exim pembeni ya mgawahawa wenye hadhi unaoitwa steers
Hivi dada ...samahani ... Wewe ni Meneja labda? Wa msanii yoyote hapa Tz?
Kwani kumjua mtu ndo kuwa meneja.. Excuse me.
sura yake mbaya kama nini!
hata mimi niliangalia kwa kweli nikawa disappointed sana, mtu wamemuheshimu wakamualika kama mgeni ameshindwa hata kuandaa speech kama mgeni rasmi!! mimi ni shabiki wake sana lakini anaboa kweli yule dada...
iyo ni mwendelezo wa bifu lake na clouds komando namkubari sana inabidi wasanii waige mfano wake sio kuwanyenyekea hao wanao kill mziki wa bongo