nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,379
Na angejua usanii na dharau ni vitu viwili tofauti kabisa...msanii lazima uwe mnyenyekevu kwa watu maana hujui nani fan wako....Jide ana dharau mpaka kwenye biashara yake ya mgahawa....nina experience hiyo na rafiki yangu ali experience the same...mwenyewe anasema sijuhi family...kuna family kwenye biashara....Ngoja kina Diamond wamfunike ndio atatia akili....
Sio kila mmoja ana nafasi ya kumjua Jide personally...lakini wengi wetu kwa mamilioni tunamjua kwenye media..kwa hiyo ni bora a'behave kwenye media tunakomjua wengi kuliko wenye bahati ya kumjua personally.