Hivi huyu Komando Jide mbona yupo hivi lakini?

kwani lini alijiunga?

Alipoanza kupokea tuzo na kisha baadae kumtuma mumewe kwenda kumchukulia.

Na juzi alimtuma house boy wake Choka akamchukulie na pale alisema ametumwa na Dada.

Akatae tu kama Dully.
 

Wenye hizo tuzo ndio tatizo.
 

Acha uwongo..mwakam huu pia EATV ina ratibu! acha kusema kitu usicho kijua!

na wewe qn of sheba hata ingekuwa vp usingeweza kukubali kuwa wewe ndiye yule binti wa mjengoni..yuko accounts nahisi...mjeuri huyo!
 
Last edited by a moderator:
Uelewa wa wasanii wa kitanzania kila mtu anaweza shinda tuzo


Sent from my Samsung Galaxy S5 4G LITE using JamiiForums
 
Alivyosma jide ni kweli hakuna tuzo hapa bongo na ndio maana aliuliza zilifanyika lini,mi naona kuna comedy tu ndio maana wengine walikuwa wansema wamehamia Mbezi beach ,wengine wakisema tuwapigie makofi wake zao,wengine wakitaka tusikilize rap zao,sasa si hiyo ndio comedy na baado usanii mwingi wa kuchagua washindi aka wauza face.
Pia kutoteuliwa kushiriki kwenye tamasha hakumfanyi Jide akose kipato,na tuache mawazo mgando kuwa kuwa ili mtu ufanikiwe lazima useme ndiyo kwa mtu/watu flani,wao sio Mungu bana,kama wao waliweza basi na Jide ataweza.
 

Kwahiyo unamaanisha mashabiki waliompigia kura na aliyesema ameagizwa kuchukua hiyo tuzo 'Dj Choka' walijipendekeza?
 
Acha uwongo..mwakam huu pia EATV ina ratibu! acha kusema kitu usicho kijua!

na wewe qn of sheba hata ingekuwa vp usingeweza kukubali kuwa wewe ndiye yule binti wa mjengoni..yuko accounts nahisi...mjeuri huyo!

I wish hata ningepata hata hapo reception mjengoni maana ulivyoning'ang'ania na hiyo kazi wakati bado nasugua gaga kitaa mwaka wa tatu huu unazidi kunipa hasira.
 
Last edited by a moderator:


mwee jina lako tu utata.
 

unajua kwenye hiyo tour huwa anaingiza shingapi??
 
unajua kwenye hiyo tour huwa anaingiza shingapi??

Alitakiwa apate m75 , ila nadhan bibie hana shida nazo , anawez kuzipta kwa njia zake mwenyw nyingine, sasa kama mtu anamilik mgahawa wa mamillion ya shillings, magar ya kumwaga,nyumba na pesa juu kwake nadhan izo pesa hakuwa na shida nazo na jide hana njaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…