Hivi huyu Mauro Ircadi namuona mimi tu au na nyinyi mmemuona?

mauro wa kawaida sana... akija primier league levo zake ni kina charlie austin, berahino, rashford, son(wa spurs), n.k hafikii hata levo za kina welbz,benteke, firmino, lukaku, morata, achilia mbali kina zlatan, aguero, kane
Hizi ni dharau sasa..
 
mauro wa kawaida sana... akija primier league levo zake ni kina charlie austin, berahino, rashford, son(wa spurs), n.k hafikii hata levo za kina welbz,benteke, firmino, lukaku, morata, achilia mbali kina zlatan, aguero, kane
EPL ina kitu gani cha ajabu sana mpk una i overate kiasi hicho
 
[HASHTAG]#mussolin[/HASHTAG] mtu wa sokaa
Mauro Icardi moja ya watupiaji hatari kabsa kwa wakati huu,, ila upatikanaji wake nao ni mgumu pia,, nadahani anaaonwa na wengi...
 
mauro wa kawaida sana... akija primier league levo zake ni kina charlie austin, berahino, rashford, son(wa spurs), n.k hafikii hata levo za kina welbz,benteke, firmino, lukaku, morata, achilia mbali kina zlatan, aguero, kane
Ndio ukwer huo uyu bdo ajafik uwezo w higwahin uyu bado jamaa n wakawaidah t
 
mauro wa kawaida sana... akija primier league levo zake ni kina charlie austin, berahino, rashford, son(wa spurs), n.k hafikii hata levo za kina welbz,benteke, firmino, lukaku, morata, achilia mbali kina zlatan, aguero, kane

Usimfananishe Icardi na huo utumbo wenu wa Epl, ana average ya kufunga magoli 25+ kwa misimu minne sasa. Hapo Epl labda umfananishe na Aguero kidogo.
 

Ana bifu na Messi baada ya kumchukua manzi wa rafiki yake Messi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…