Technophilic Pool
JF-Expert Member
- Jan 18, 2024
- 2,597
- 3,965
Sasa umri huo kua kiben ten mbona hata haipendeziata ungekua ndo ww lazma ungejibebisha kwa munna jins alivo na msapwipwi
Alichopost ulionaAchen uchuro wote watumishi hapo wanajadili neno
Hapana sjaona mkuu, na wee unaamini kweli wanajadili neno wameshikiliana nlisema ki vice versa tu mzahaAlichopost uliona
Labda sasa Ndo shida ya kupenda kulelewaHapana sjaona mkuu, na wee unaamini kweli wanajadili neno wameshikiliana nlisema ki vice versa tu mzaha
Kiboko yake mchomvu mitamaLabda sasa Ndo shida ya kupenda kulelewa
Ha ha ha Ana mdomo sana huyu jamaaKiboko yake mchomvu mitama
Samahan mkuu,ata ungekua ndo ww lazma ungejibebisha kwa munna jins alivo na msapwipwi
kibeni ten huyu ndio maana aliachwaLabda anamfananisha na demu wake wa zamani, madame flora
mmhSamahan mkuu,
Kwani hayo makitu yanatumikaje?
Yanaongeza salio banki?
Yana ongeza vitamini kwa mtazamaji?
Wachina na wahindi(makabila ya watu wengi duniani), wanawake wao hawana hizo taka mwili.
ni la nani😂😂Huyo demu mbona hilo limwili kama sio lake
La mchinani la nani😂😂