Hivi huyu Mbasha ana nini lakini

Ni Og au hayahaya ya kuchambia hamira.
 
Kapo yao enzi wanatoka na wimbo wao waliosimamiwa na ruge walikuwa moto sana ,ilikuwa kapo ya kuiga....jini mkata kamba alivyoingia tu ikawa chali.
 
ata ungekua ndo ww lazma ungejibebisha kwa munna jins alivo na msapwipwi
Samahan mkuu,
Kwani hayo makitu yanatumikaje?
Yanaongeza salio banki?
Yana ongeza vitamini kwa mtazamaji?

Wachina na wahindi(makabila ya watu wengi duniani), wanawake wao hawana hizo taka mwili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…