Hivi huyu Mbasha ana nini lakini

Hivi huyu Mbasha ana nini lakini

Technophilic Pool

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2024
Posts
2,597
Reaction score
3,965
Huyu jamaa huwa simwelewagi!!

Sasa hapa anajibebisha kwa Muna love ndo nini?? eEi ooh sijui kwani huna ndugu wewe hadi uwe kama kibeni ten mjini

7C272980-6330-43C3-86F2-0D04AAAF7200.jpeg
 
Kapo yao enzi wanatoka na wimbo wao waliosimamiwa na ruge walikuwa moto sana ,ilikuwa kapo ya kuiga....jini mkata kamba alivyoingia tu ikawa chali.
 
ata ungekua ndo ww lazma ungejibebisha kwa munna jins alivo na msapwipwi
Samahan mkuu,
Kwani hayo makitu yanatumikaje?
Yanaongeza salio banki?
Yana ongeza vitamini kwa mtazamaji?

Wachina na wahindi(makabila ya watu wengi duniani), wanawake wao hawana hizo taka mwili.
 
Back
Top Bottom