Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 4,016
- 6,759
Mssiingilie imani za watu, Wachungaji wangapi wanasema kuwa wanazungumza na Mungu?... wangapi wanasema wamepewa Ufunuo na mbona hawabughudhiwi?
Huyu naye ni mfalme na ni mtume, so kimahesabu anazungumza na mungu (KWA IMANI YAO NA WAFUASI WAKE)
Muacheni msimbughudhi mfalme,
Acheni asongeshe Injili, Hata imani yenu kwa wengine inaonekana kituko.....
Huyu naye ni mfalme na ni mtume, so kimahesabu anazungumza na mungu (KWA IMANI YAO NA WAFUASI WAKE)
Muacheni msimbughudhi mfalme,
Acheni asongeshe Injili, Hata imani yenu kwa wengine inaonekana kituko.....