Hivi huyu mtu anayejiita Mfalme Zumaridi anatuchukuliaje?

Hivi huyu mtu anayejiita Mfalme Zumaridi anatuchukuliaje?

Mssiingilie imani za watu, Wachungaji wangapi wanasema kuwa wanazungumza na Mungu?... wangapi wanasema wamepewa Ufunuo na mbona hawabughudhiwi?

Huyu naye ni mfalme na ni mtume, so kimahesabu anazungumza na mungu (KWA IMANI YAO NA WAFUASI WAKE)

Muacheni msimbughudhi mfalme,
Acheni asongeshe Injili, Hata imani yenu kwa wengine inaonekana kituko.....
 
Dr tunampimaje kwamba ni mgonjwa ? Au kwavile amesema ameenda mbinguni na hizo illusion zake zingine? Je kina Jesus na Muhamad nao walikua wagonjwa wa akili? Maana nao walikua na mambo kama hayo ya zumaridi.

Wale wanaokanyagisha watu mafuta ya upako je sio dalili kama za Zumaridi?

Ama ugonjwa wa akili unaendana na ni kitu gani tunachoamua kukubali
Nakazia mkuu
 
Lakini nitajaribu kujibu swali
(huenda jibu langu likawa sio sahihi utaushirikisha ubongo wako pia katika hili) kwanza in normal circumstance mtu akija hospitali akisema nmeongea na mungu hio tunachukulia kawaida, but mtu akisema Mungu ameongea na mimi tunaanza kuweka warning signs note those two words Mungu ameongea na mimi vs nmeongea na mungu

Kwasababu psychological studies zinaitambua religion ( religion ni either protecting factor au precipitating factor kwenye magonjwa mengi ya akili ) kwa sababu tunaitambua dini tutajiuliza au tutamuuliza mungu ameongea nini na wewe majibu atakayotupa yatatuthibitishia of this is a matter of faith or a matter of psychological problem Mfano mtu akisema mungu amesema nichome nyumba yangu Kuna mapepo na Mfano mtu akasema nmeoneshwa na Mungu niombee Familia yangu Kuna vitu vibaya vinaweza ikuta na huyo mtu anafunga kuomba na kufunga kwake hakuharibu maisha ya kawaida ya wengine au ya kwake (huyu ni normal na yule wa kwanza ni abnormal)

So coming to answer your question maneno ya yesu yaliendana na matendo yake he healed people, he transformed people's lives his grandiose words were seen plainly in normal life he was justifying his egoistic words ( Mwamba ) Yesu in short aliyoyasema yaliendana na aliyokua anayafanya that's why he has followers who believes in him
Mfano baada ya kufa siku ya Tatu Mwamba amefufuka hayupo kabisa

Coming to Zumaridi questions she may be saying the truth for us believers tunaamini Kuna watu wanapatwa na hayo mafunuo but coming to look on her presentations Sasa kwenye surface it's completely abnormal
Whatever else you think of Jesus, he was a spiritual dynamo with incredible wisdom and heart. He could transform people’s lives with a look or a touch, vipi kuhusu the priestess Zumaridi we are talking here about?

I hope I have answered you well
Have a good and productive day out there
Nani alimuona Yesu na kuthibitisha hayo uliyoandika kuhusu yeye tofauti na kusoma kwenye vitabu?
Hivyo hivyo nani alimuona Muhammad na kuthibitisha maisha yake zaidi ya kusoma kwenye vitabu?

Nani alikufa akaenda Mbinguni na kuona kulivyo akarudi na kusimulia aliyoyaona zaidi ya kusoma kwenye vitabu?

Mbinguni kumeelezwa kuna Pepo na Moto, huko Peponi watu watasifu na kuabudu, wengine watakutana na mito ya maziwa na asali, na huko Motoni ni kuunguzwa na watu watapewa maji ya usaha,

Hayo yote tunaamini hadi kuogopa kabisa bila kua na uthibitisho wowote, je na sisi ni Wagonjwa wa Akili?
 
Mssiingilie imani za watu, Wachungaji wangapi wanasema kuwa wanazungumza na Mungu?... wangapi wanasema wamepewa Ufunuo na mbona hawabughudhiwi?

Huyu naye ni mfalme na ni mtume, so kimahesabu anazungumza na mungu (KWA IMANI YAO NA WAFUASI WAKE)

Muacheni msimbughudhi mfalme,
Acheni asongeshe Injili, Hata imani yenu kwa wengine inaonekana kituko.....
Umenena,
Kila Mtu huona Imani ya mwenzie ni kituko lakini kama kila Mtu angeheshimu imani ya mwenzie na kushika yake, huu uzi usingekuwepo,

Nimeuliza kwanini kwa Zumaridi iwe ana tatizo la akili lakini kwa Wachungaji wengine wawe mashujaa?
 
Nani alimuona Yesu na kuthibitisha hayo uliyoandika kuhusu yeye tofauti na kusoma kwenye vitabu?
Hivyo hivyo nani alimuona Muhammad na kuthibitisha maisha yake zaidi ya kusoma kwenye vitabu?

Nani alikufa akaenda Mbinguni na kuona kulivyo akarudi na kusimulia aliyoyaona zaidi ya kusoma kwenye vitabu?

Mbinguni kumeelezwa kuna Pepo na Moto, huko Peponi watu watasifu na kuabudu, wengine watakutana na mito ya maziwa na asali, na huko Motoni ni kuunguzwa na watu watapewa maji ya usaha,

Hayo yote tunaamini hadi kuogopa kabisa bila kua na uthibitisho wowote, je na sisi ni Wagonjwa wa Akili?
Sawa
 
Nimetizama mahojiano ya huyu anayejiita mfalme Zumaridi na Mtangazaji wa Clouds, Millard Ayo na nimebaki na maswali mengi sana lakini kubwa ni kwamba ANATUCHUKULIAJE WATANZANIA?

Zumaridi anasema akiwa darasa la 3 alitokewa na Mungu akiwa na umbo la jua lakini usiku, kwa hiyo yeye aliweza kuangalia jua tena lililotokea Usiku.

Anasema yeye ameshaenda Mbinguni mara nyingi sana na mbinguni kuna nyumba za ghorofa na alipoenda motoni alikuta watu wanamlilia awaokoe wengine wanaongea kisukuma.

Zaidi anasema ameshakutana na Ibrahimu ambaye alimtambulisha kwa Eliya na Yakobo, na eti aliingia kwenye ofisi ya Mungu. Ningehoji Wasukuma mnatukuliaje sisi lakini nitaonekana mkabila, naacha tu.

Mwenye muda akatazame kwa Millard.

View attachment 2549515
Mi nadhani swali hilo ungewauliza makerubi wake wanaomwamini kwamba ni Mfalme wa mbinguni
 
IMG-20230321-WA0001.jpg
 
Huyu dada inaonekana hata anapoishi kutakuwa na mazingaombwe mengi sana...
 
Muwe mnamulewa, Mbinguni anayozungumzia yeye ni kileleni...

Na kwa miuno yake kwa nini asifike...
 
Nimetizama mahojiano ya huyu anayejiita mfalme Zumaridi na Mtangazaji wa Clouds, Millard Ayo na nimebaki na maswali mengi sana lakini kubwa ni kwamba ANATUCHUKULIAJE WATANZANIA?

Zumaridi anasema akiwa darasa la 3 alitokewa na Mungu akiwa na umbo la jua lakini usiku, kwa hiyo yeye aliweza kuangalia jua tena lililotokea Usiku.

Anasema yeye ameshaenda Mbinguni mara nyingi sana na mbinguni kuna nyumba za ghorofa na alipoenda motoni alikuta watu wanamlilia awaokoe wengine wanaongea kisukuma.

Zaidi anasema ameshakutana na Ibrahimu ambaye alimtambulisha kwa Eliya na Yakobo, na eti aliingia kwenye ofisi ya Mungu. Ningehoji Wasukuma mnatukuliaje sisi lakini nitaonekana mkabila, naacha tu.

Mwenye muda akatazame kwa Millard.

View attachment 2549515
2mia akili,huyo alipokuwa ndani,amepewa maagizo na systeam kwamba akiachiwa akirudi uraiani ajimalize ili huduma yake ife.....apotee
 
Zumaridi ni sawa tu na Kuhani wetu anayesema Yesu huwa anamtokea kabisa na kumpa maelekezo ya Ibada za kufanya... 😂😂😂😂

Hata Dominic naye alitwambia alipewa Rozari eti ...😂😂😂
 
Nimetizama mahojiano ya huyu anayejiita mfalme Zumaridi na Mtangazaji wa Clouds, Millard Ayo na nimebaki na maswali mengi sana lakini kubwa ni kwamba ANATUCHUKULIAJE WATANZANIA?

Zumaridi anasema akiwa darasa la 3 alitokewa na Mungu akiwa na umbo la jua lakini usiku, kwa hiyo yeye aliweza kuangalia jua tena lililotokea Usiku.

Anasema yeye ameshaenda Mbinguni mara nyingi sana na mbinguni kuna nyumba za ghorofa na alipoenda motoni alikuta watu wanamlilia awaokoe wengine wanaongea kisukuma.

Zaidi anasema ameshakutana na Ibrahimu ambaye alimtambulisha kwa Eliya na Yakobo, na eti aliingia kwenye ofisi ya Mungu. Ningehoji Wasukuma mnatukuliaje sisi lakini nitaonekana mkabila, naacha tu.

Mwenye muda akatazame kwa Millard.


Nimetizama mahojiano ya huyu anayejiita mfalme Zumaridi na Mtangazaji wa Clouds, Millard Ayo na nimebaki na maswali mengi sana lakini kubwa ni kwamba ANATUCHUKULIAJE WATANZANIA?

Zumaridi anasema akiwa darasa la 3 alitokewa na Mungu akiwa na umbo la jua lakini usiku, kwa hiyo yeye aliweza kuangalia jua tena lililotokea Usiku.

Anasema yeye ameshaenda Mbinguni mara nyingi sana na mbinguni kuna nyumba za ghorofa na alipoenda motoni alikuta watu wanamlilia awaokoe wengine wanaongea kisukuma.

Zaidi anasema ameshakutana na Ibrahimu ambaye alimtambulisha kwa Eliya na Yakobo, na eti aliingia kwenye ofisi ya Mungu. Ningehoji Wasukuma mnatukuliaje sisi lakini nitaonekana mkabila, naacha tu.

Mwenye muda akatazame kwa Millard.

View attachment 2549515
Nailaumu hii serikali ya mama yenye mwelekeo ule wa kibepari 'custumer beware' wakati ikijua wananchi wengi bado ni wajinga. Serikali hii itambue vita dhidi ya ujinga ni jukumu la serikali kwa hivyo inabidi kuwalinda wananchi wanapokabiliwa na mafisadi kupitia imani za kiroho
 
Back
Top Bottom