kuduman201036
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 4,058
- 2,175
>> ATUPISHE VIJANA NA phD zetuu >>>
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungekuwepo saSa Mkuu, sijui uliendaga wapJana nimesoma gazeti moja likimtaja Mkurugenzi wa Dawasco Bw Archard Mutalemwa nikashangaa; ni Mutalemwa yupi? Aliyekuwa anasambaza maji yasiyo na dawa (1993) wakati akiwa NUWA akaundiwa tume na kuthibitishwa ni kweli? Waziri wa Maji wakati huo alikuwa JK, afya akiwa Meghji.
Ni yule aliyesababisha NUWA kufunguliwa kesi na wakazi wa Sinza baada ya taarifa hizo? Wakazi hao walitetewa na Wakili (sasa marehemu Julius Ndyanabo)?
Ni yule ambaye akiwa NUWA ilikuwa inatuhumiwa kununua madawa ya maji yasiyofaa mara kwa mara na tuhuma za ubadhirifu lukuki?
Kama ni yeye basi muuzieni hayo mashirika ya DAWASCO na DAWASA maana sasa imedhihiri mashirika hayo ni kama mali yake. Cha ajabu nini mbona BWM alijiuzia Kiwira? Ni kweli hakuna mtaalam wa maji nchini mpaka Mutalemwa?
Atakuwa na kizizi kisichokuwa cha kawaida!
Hilo sio la kuuliza alipaswa ama amtumbue au amwambie bila kututangazia, kwani kuna anaye Shiba hela! " makelele sasa basi "Kumbe ndo maana Ngosha anauliza jamaa anastaafu lini?
Kalazimisha kuwa hapo?Tangu 1993 ni mKURUGENZI MPAKA lEO???
Pia alikuwa na kashfa ya kuwapa maji ya dili strabag[emoji15]Daaaah! Mambo ni mengi....unaweza ona MTU anaonewa kumbe........
Lazima ahandike aisee alikula mpunga wa strabag kawapa maji ya diliMuda huu keshaandika barua ya kustaafu.
Mambo hadharani mkuu km kakukera pòle.Hilo sio la kuuliza alipaswa ama amtumbue au amwambie bila kututangazia, kwani kuna anaye Shiba hela! " makelele sasa basi "
Labda NDUMBA NA NGAYI.Kalazimisha kuwa hapo?