Abbasfarudume
JF-Expert Member
- Feb 14, 2017
- 1,625
- 1,326
- Thread starter
-
- #41
Si Unaona aiseee ni shidaaa!Tapeli wema alishasema hana acc facebook
Hivyo hivyooo mkuuHalafu unaweza kukuta ni DUME
Watakamatwa washenzi wakubwa haohuyo ni tapeli, ila ni utapeli wa kitoto sana huu, sema wengine ndio hivyo wanaingizwagwa mjini.
siku moja, Saidi Fela alisema ukiangalia facebook kuna Saidi Fela kama 10, lakini wote ni feki na wanawatapeli watu hela ndogo ndogo.
potezea tapeli hilooHivyo hivyooo mkuu
Huyo ni men anatumia id fake ya wemaPole yako kaka wanawake wa siku hizi ni noma sana
Nishampotezea na kumblocked muda ule ule mkuupotezea tapeli hiloo
Za mwizi arobaini mkuuHuyo ni men anatumia id fake ya wema
poaNishampotezea na kumblocked muda ule ule mkuu
Kweli kabisa na kilichonisukuma mimi kupost hii thread ya huyu sepenga fake. Hii mara ya pili kutaka kutapeliwa, huyo huyo jaqline wolper fake mwaka jana alini ingilia hivyo hivyo. Madai gari yake aina mafuta kakwama maeneo ya bunju anataka nimuazime 30,000/= nae nikamtolea nje nikawa na wasiwasi nae mkuu hii khari inatisha Usipokuwa makini Unapigwa mchanga wa macho hivi hivi mkuuYUPO MMOJA ANAJIITA JACLINE WOLPER NA ANKUTUMIA KITAMBULISHO CHA KUPIGIA KULA NA ANA NAMBA YA SIMU IMESAJILIWA KWA JINA LA JACLINE WOLPER MASAWE ANATUMIA NAMBA ..........................................NAOMBA WAHUSIKA WALIWEKE WAZI HILI WATU WANAWACHAFUA SANA KWA KUTUMIA HII NJIA FEKI YA KUTAPELI NEXT TIME NAWEKA NA NAMBA KABISA NA KITAMBULISHO ANACHOTUMIA
Pouwa kiongozi
Mimi alinifuata kwangu kwa jina la wolper, hao ni wasenge hivi wanadhani huwa pesa inatoka kilaini laini eti kisa ya majina yao, mamaee!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377]Mimi alinifuata kwangu kwa jina la wolper, hao ni wasenge hivi wanadhani huwa pesa inatoka kilaini laini eti kisa ya majina yao, mamaee!
Usiseme hivyo mkuu hata wewe unaweza kuingizwa chaka [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Ulimchokoza mwenyewe nanin kakuambia um "wave"?
Wowww....[emoji15] [emoji15]Thief huyo mkuu