Hivi huyu Rayvanny ndio kashaishiwa?

Hivi huyu Rayvanny ndio kashaishiwa?

Leo unajitaid kujipodoa mara uandike umeshinda mara wasanii hajui kuimba oya kaimbe wewe kumamamake c umeshnd milion 45 mbona inatosha m5 ukiongeza kalio ili vidio itoke kali itapendez oy ukinijibu mi mumeo ukikaa kimya we ni bonge la mku hahaha mambo ya fid hayo chagua moja chaajabu mtoa post atapain acha urofa mwanaume hapain nyoko tulia kalio
 
Leo unajitaid kujipodoa mara uandike umeshinda mara wasanii hajui kuimba oya kaimbe wewe kumamamake c umeshnd milion 45 mbona inatosha m5 ukiongeza kalio ili vidio itoke kali itapendez oy ukinijibu mi mumeo ukikaa kimya we ni bonge la mku hahaha mambo ya fid hayo chagua moja chaajabu mtoa post atapain acha urofa mwanaume hapain nyoko tulia kalio
Hahahaha Ukishakua masikini lazima. Udate aisee milion 45 zangu zinakuuma sana hahahahaha 🤣🤣🤣 tukana tusi jipya hayo wenzio wameshayatunga unaiga tu
 
Huyu jamaa mbona anatoa nyimbo mbaya sana siku hizi yaani kama msanii chipukizi hii nyimbo yake aliyoiita peponi ni Moja kati ya nyimbo mbaya sana aisee huyu jamaa kashaishiwa anaimba kama anaongea na mtu hapa hamna msanii aisee
Akapakwe mafuta ya upako kwenye Freak Off Party nyumbani kwa Pdidy
 
Huyu jamaa mbona anatoa nyimbo mbaya sana siku hizi yaani kama msanii chipukizi hii nyimbo yake aliyoiita peponi ni Moja kati ya nyimbo mbaya sana aisee huyu jamaa kashaishiwa anaimba kama anaongea na mtu hapa hamna msanii aisee
Wasanii wa R&B Tanzania ambao ni overrated
1. Rayvanny
2. Jux
3. Harmonize
4. Zuchu.

Wasanii wa R&B ambao ni underrated
1. Mario
2. Kusah
3. Ruby.
4. Baraka Da Prince.

Wengine wapo rated wanavyostahili.
 
Huyu jamaa mbona anatoa nyimbo mbaya sana siku hizi yaani kama msanii chipukizi hii nyimbo yake aliyoiita peponi ni Moja kati ya nyimbo mbaya sana aisee huyu jamaa kashaishiwa anaimba kama anaongea na mtu hapa hamna msanii aisee
Biashara sio rahisi na sio kila mtu anaweza, rich mavoko, rayvanny na konde wote walionekana wazito walivokuwa wcb ila walivotoka hamna lolote. Diamond anafanya investment sana katika ubunifu wale vijana wanahitaji sana watu. Hamna nyimbo ya diamond ovyo imagine ila hao waliotoka nyimbo zao nzuri zinahesabika… sio kila mtu anaweza kuwa mfanyabiashara
 
Biashara sio rahisi na sio kila mtu anaweza, rich mavoko, rayvanny na konde wote walionekana wazito walivokuwa wcb ila walivotoka hamna lolote. Diamond anafanya investment sana katika ubunifu wale vijana wanahitaji sana watu. Hamna nyimbo ya diamond ovyo imagine ila hao waliotoka nyimbo zao nzuri zinahesabika… sio kila mtu anaweza kuwa mfanyabiashara
Kwa harmonize umedanganya huyo jamaa ni hatari hajawahi kushuka diamond mwenyewe hampati
 
Biashara sio rahisi na sio kila mtu anaweza, rich mavoko, rayvanny na konde wote walionekana wazito walivokuwa wcb ila walivotoka hamna lolote. Diamond anafanya investment sana katika ubunifu wale vijana wanahitaji sana watu. Hamna nyimbo ya diamond ovyo imagine ila hao waliotoka nyimbo zao nzuri zinahesabika… sio kila mtu anaweza kuwa mfanyabiashara
Achana mmakonde ukimtoa diamond hakuna msanii mwingine wa kumfikia
 
Huyu jamaa mbona anatoa nyimbo mbaya sana siku hizi yaani kama msanii chipukizi hii nyimbo yake aliyoiita peponi ni Moja kati ya nyimbo mbaya sana aisee huyu jamaa kashaishiwa anaimba kama anaongea na mtu hapa hamna msanii aisee
Apelekwe kwa Pdidy akapigwe booster
 
Humu ndani mnatukanana matusi tu bila sababu, sijui watu mmelewa, maana ni weekend ya mwisho wa mwezi hii.
 
Kumbe hapa JF tuko na watoto ambao bado wanasikiliza bongo fleva
 
Huyu jamaa mbona anatoa nyimbo mbaya sana siku hizi yaani kama msanii chipukizi hii nyimbo yake aliyoiita peponi ni Moja kati ya nyimbo mbaya sana aisee huyu jamaa kashaishiwa anaimba kama anaongea na mtu hapa hamna msanii aisee
Kwani Nyimbo za Alikiba huzioni mpaka ukomae na manyimbo yao hayo ya Hovyo
 
Vile ni ajira yake tuendelee kumkumbusha ili afanye vizuri
Tatizo anataka kuandika na kuimba yeye mwenyewe nadhani aige mfano wa zuchu tafuta mtunzi na mtu wa sauti itaepusha hata Kila saa kuimba mapenzi
 
Huyu jamaa mbona anatoa nyimbo mbaya sana siku hizi yaani kama msanii chipukizi hii nyimbo yake aliyoiita peponi ni Moja kati ya nyimbo mbaya sana aisee huyu jamaa kashaishiwa anaimba kama anaongea na mtu hapa hamna msanii aisee
Huyo Rayvann ni nani huko Daslamu?
Mbona huku Ngarenaro hatumjui?
Kuna kina Chid Benz huko dar hawapo tena?
Ndo tulikuwa tunawamanya
 
Back
Top Bottom