Hivi huyu Rayvanny ndio kashaishiwa?

Kwa harmonize umedanganya huyo jamaa ni hatari hajawahi kushuka diamond mwenyewe hampati
Sikiliz album ya harmonize alizotoa baada ya kutoka wcb. Ana hit 2 afu sikiliza diamond.. kila nyimbo hit
 
Sikiliz album ya harmonize alizotoa baada ya kutoka wcb. Ana hit 2 afu sikiliza diamond.. kila nyimbo hit
Huyo Hana marinda siwezi kumsikiliza msikilize peke yako
 
Kwa harmonize umedanganya huyo jamaa ni hatari hajawahi kushuka diamond mwenyewe hampati
Acha ushabiki mandazi and be realistic, alichoandika jamaa kuhusu hao wasanii na kumuweka Harmo juu ya Diamond ndiyo kabisa inaonyesha unaendeshwa na hisia.
Tumia ubongo na uache kuendeshwa na hisia, mashabiki ndiyo mnawadanganya wasanii.
 
Acha ushabiki mandazi and be realistic, alichoandika jamaa kuhusu hao wasanii na kumuweka Harmo juu ya Diamond ndiyo kabisa inaonyesha unaendeshwa na hisia.
Tumia ubongo na uache kuendeshwa na hisia, mashabiki ndiyo mnawadanganya wasanii.
Diamond sio msanii ni shoga au hujui kwamba ni Mke wa p Diddy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…