Hivi huyu Sheikh Chanel 10 anasema nini?

Hivi huyu Sheikh Chanel 10 anasema nini?

MVUMBUZI

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2011
Posts
5,182
Reaction score
2,308
Kuna kipindi kinaendelea Chanel 10 nafikiri kimeanza saa 4. Huyu sheikh anathubutu kusema ni dini ya kiislam tu inayofikisha watu peponi na hakuna dini nyingine yyoyote inayoweza kumfikisha mtu peponi.

Topic anayozungumzia ni "Misingi mitano ya kudumisha amani". Ila naona suala la ku compare dini kwamba hii ni sahii na hii siyo sahii amepotoka.

Mwelekeo wa mahubiri yake ni kama katumwa na JK vile kwani huwezi kulazimisha kutii mamlaka blindly hata kama kiongozi hana busara wala hekima.
Hapa anafundisha u-imla zaidi wakati sisi tunahitaji serikali na uongozi wa kidemokrasia zaidi.

yuko very biased kwani kimwelekeo anaipiga vijembe CDM na kumfagilia JK.
 
Hii thread sio jukwaa lake hili, ungeiweka habari mchanganyiko au siasa.
 
Ni fikra finyu kudhani dini unayoiamini wewe ndo dini pekee ya ukweli.
 
..simlaumu ni fikra zake na imani yake vinamtuma! wewe ukiwa wa imani tofauti ukisikia hivyo bonyeza next ..endelea kutafuta channel nyingine!
 
Katika dini yetu tumeambiwa kuwa peponi ni kuzimu,motoni au jehenamu.Neno peponi limetoholewa kutoka kwenye neno pepo.Nadhani wote tunaelewa kuwa pepo ni mashetani hivyo huyo shehe kama anasema kuwa dini pekee itakayowapelekawatu peponi ni Islam basi huku wengine tumeelewa kuwa wataenda motoni.
 
Anaeleza msimamo na mafundisho ya uislamu yalivyo.

Hata ukristo ndivyo unavyo fundisha kuwa dini pekee itakayo mfikisha
mtu mbinguni ni kuamini yesu ni mungu na mwana wa mungu.

Thats y hawkubali mtu kubadili dini na kufuata dini nyingine. Ukutaka kuthiitisha hilo muulize padri yeyote
unaye mjua kama atakubali kuwa uislamu ni sawa tu na ukristo basi abadili dini leo naye awe muislamu usikie majibu yake.
 
Anaeleza msimamo na mafundisho ya uislamu yalivyo.

Hata ukristo ndivyo unavyo fundisha kuwa dini pekee itakayo mfikisha
mtu mbinguni ni kuamini yesu ni mungu na mwana wa mungu.

Thats y hawkubali mtu kubadili dini na kufuata dini nyingine. Ukutaka kuthiitisha hilo muulize padri yeyote
unaye mjua kama atakubali kuwa uislamu ni sawa tu na ukristo basi abadili dini leo naye awe muislamu usikie majibu yake.

yah upo sawa jakamoyo dini zote zinaamini kua zipo sahihi zaidi ya jengine nafkiri aloanzisha post hii ana lake moyoni sjui watanzania tutaelimika lini
 
ana matatizo yake huyo tena yeye ndiye atakayekuwa wa kwanza kwenza motoni
 
Anaeleza msimamo na mafundisho ya uislamu yalivyo.

Hata ukristo ndivyo unavyo fundisha kuwa dini pekee itakayo mfikisha
mtu mbinguni ni kuamini yesu ni mungu na mwana wa mungu.

That is not correct. Ukristu unafundisha Yesu ndiye njia pekee ya kwenda kwa Baba, lakini haufundishi ni lazima umwamini Yesu kwanza. Kwa Huruma yake, anaweza kuwapokea Mbinguni hata wale ambao hawakumfahamu. Kwa mfano, wale ambao wamekufa bila kusikia Injili ikihubiriwa wana kosa la kutomkubali Yesu?
 
Kuna kipindi kinaendelea Chanel 10 nafikiri kimeanza saa 4. Huyu sheikh anathubutu kusema ni dini ya kiislam tu inayofikisha watu peponi na hakuna dini nyingine yyoyote inayoweza kumfikisha mtu peponi.

Topic anayozungumzia ni "Misingi mitano ya kudumisha amani". Ila naona suala la ku compare dini kwamba hii ni sahii na hii siyo sahii amepotoka.

Mwelekeo wa mahubiri yake ni kama katumwa na JK vile kwani huwezi kulazimisha kutii mamlaka blindly hata kama kiongozi hana busara wala hekima.
Hapa anafundisha u-imla zaidi wakati sisi tunahitaji serikali na uongozi wa kidemokrasia zaidi.

yuko very biased kwani kimwelekeo anaipiga vijembe CDM na kumfagilia JK.

Kwanini mfuate sheik wakti kolani iliyo jaa shaka ipo, msome mtaalam wa jukwa la deen kwenye attachment. Kolani inasema hivi

The Qur'an (Koran) says that Allah desires to lead people astray (Qur'an Sura 6:39, 126). He does not help those who are led astray by him (Sura 30:29), and Allah desires to use them to populate hell (Sura 32:13).

HUYO ALLAH WENU ANAWAINGIZA MOTONI. HAYA WAISLAM KAZI KWENU. ALLAH WENU HANA CHOCHOTE ZAIDI YA MOTO WA KUMCHOMA YEYE NA NYINYI WAISLAM.

KAZI ALIYO NAYO NI KUWAINGIZA MKENGE WA KWENDA MOTONI.
 
[SURA 32:13] Had we willed, we could have given every soul its guidance, but it is already predetermined that I will fill Hell with jinns and humans, all together.*

NOW REMEMBER, JINNS WORSHIP ALLAH, ACCORDING TO KORAN. JINNS ARE HOLY ACCORDING TO ISLAMS AND KORAN. NOW ALLAH WANTS TO FILL HELL WITH THESE HOLY ISLAMIC JINNS WITH ISLAMS, BECAUSE ISLAMS AND JINNS, BOTH WORSHIP ALLAH.

FURTHERMORE, MAREHEM MUHAMMAD SAID ALL ISLAMS HAVE JINNS " Hadith - Sahih Muslim 6757, Narrated Abdullah ibn Mas'ud, similar narration 6759 by 'Aisha, r.a. Allah's Apostle said: There is none amongst you with whom is not an attache from amongst the jinn (devil). They (the Companions) said: Allah's Apostle with you too? Thereupon he said: Yes, but Allah helps me against him and so I am safe from his hand and he does not command me but for good."

AND JINNS ARE ISLAM "The Noble Qur'an - Az-Zaariyaat 51:56 And I (Allâh) created not the jinns and humans except they should worship Me (Alone).Hadith - Tirmidhi #861, Narrated Jabir ibn Abdullah, Tirmidhi reported and said: This is a gharib hadith.

Allah's Messenger came out to his companions and recited Surah ar-Rahman (55) from the beginning to the end, but they remained silent. Thereupon he said: I recited this before the Jinn on the night of Jinn, and their response was better than that of yours. When I came to these words: `Then which of the favours of your Lord do you deny?' They said: Our Lord, there is nothing that we deny of Thy favour; to Thee is praise due".

IS ALLAH SETTING UP ISLAMS? YOU TELL ME.

MKUU UPO HAPO.

Killer one
 
74:31 "We have appointed nineteen angels to be the wardens of the Hell Fire.

Bukhari:8:537 "The Prophet said, 'Allah will say, "Adam!" "I am obedient to Your orders."
Allah will say, "Bring out the people of the Fire."
"How many are the people of the Fire?"


Allah will say, "Out of every thousand take out nine-hundred and ninety-nine persons."


At that time children will become hoary-headed and every pregnant female will drop her load. You will see the people as if they were drunk. Allah's punishment will be very severe.'"


*** Only Muhammad's Allah - not the God of Israel - could show his Compassionate and Merciful characteristics by making such an astoundingly EVILdemand.


Out of every 1000 of Allah's human creation, he, Allah, consigns 999 of them , through no fault of their own, to his Hell fires and torments ***

Allah mwe, sina hamu
 
Mhh... Hilo neno pepon halijatoholewa kwenye neno pepo. Linatokana na neno la kiarabu jannah kwa tafsir ya bustan na makaz ya mbinguni ya watu wema
 
..simlaumu ni fikra zake na imani yake vinamtuma! wewe ukiwa wa imani tofauti ukisikia hivyo bonyeza next ..endelea kutafuta channel nyingine!

Sasa aongee kama anaongea na Waisalam na siyo kusema eti hakuna dini nyingine itakayowafikisha peponi. Ni sawa mko Harusini kila mtu na mkewe kama waalikwa then couple moja ikasimama na kusema " ndoa yetu ndiyo ndoa sahihi nyingine zote feki" hivi how will you feel wakati upo na mkewo meza moja mkismile huku akiwa amevalia gauni jipya na wewe suti?.
 
..simlaumu ni fikra zake na imani yake vinamtuma! wewe ukiwa wa imani tofauti ukisikia hivyo bonyeza next ..endelea kutafuta channel nyingine!
...Kama mimi nilivyofanya mkuu. kwa kweli alikuwa anaboa. Channel 10 inabidi wawe wana scan watu wanao present kwenye luninga yao, la sivyo watapoteza wapenzi
 
Kuna kipindi kinaendelea Chanel 10 nafikiri kimeanza saa 4. Huyu sheikh anathubutu kusema ni dini ya kiislam tu inayofikisha watu peponi na hakuna dini nyingine yyoyote inayoweza kumfikisha mtu peponi.

Topic anayozungumzia ni "Misingi mitano ya kudumisha amani". Ila naona suala la ku compare dini kwamba hii ni sahii na hii siyo sahii amepotoka.

Mwelekeo wa mahubiri yake ni kama katumwa na JK vile kwani huwezi kulazimisha kutii mamlaka blindly hata kama kiongozi hana busara wala hekima.
Hapa anafundisha u-imla zaidi wakati sisi tunahitaji serikali na uongozi wa kidemokrasia zaidi.

yuko very biased kwani kimwelekeo anaipiga vijembe CDM na kumfagilia JK.

kwanza maneno yake ni kweli alafu Ushasema ni Shekh "mkufunzi wa dini ya kiislamu" wewe ulitaka aseme vipi..?!!
 
Kwanini mfuate sheik wakti kolani iliyo jaa shaka ipo, msome mtaalam wa jukwa la deen kwenye attachment. Kolani inasema hivi
Originally Posted by MaxShimba
The Qur'an (Koran) says that Allah desires to lead people astray (Qur'an Sura 6:39, 126). He does not help those who are led astray by him (Sura 30:29), and Allah desires to use them to populate hell (Sura 32:13).

HUYO ALLAH WENU ANAWAINGIZA MOTONI. HAYA WAISLAM KAZI KWENU. ALLAH WENU HANA CHOCHOTE ZAIDI YA MOTO WA KUMCHOMA YEYE NA NYINYI WAISLAM.

KAZI ALIYO NAYO NI KUWAINGIZA MKENGE WA KWENDA MOTONI.

Killer one

Originally Posted by MaxShimba
74:31 "We have appointed nineteen angels to be the wardens of the Hell Fire.

Bukhari:8:537 "The Prophet said, 'Allah will say, "Adam!" "I am obedient to Your orders."
Allah will say, "Bring out the people of theFire."
"How many are the people of the Fire?"


Allah will say, "Out of every thousand take outnine-hundred and ninety-nine persons."


At that time children will become hoary-headed and every pregnant female will drop her load. You will see the people as if they were drunk. Allah's punishment will be very severe.'"


*** Only Muhammad's Allah - not the God of Israel - could show his Compassionate and Merciful characteristics by making such an astoundingly EVILdemand.


Out of every 1000 of Allah's human creation, he, Allah, consigns 999 of them , through no fault of their own, to his Hell fires and torments ***


Allah mwe, sina hamu


Sina la kuoengezea Yesu keshaongea kuhusu watu kama ninyi "You fools!" (Jesus) Luke 11:40 , "You blind fools!" (Jesus) Mat 23:17 "How foolish you are" (Jesus) Luke 24:25
 
kwa hiyo ukiishafuata dini ya kiislam ni tiketi ya moja kwa moja kwenda peponi?kila muamba ngozi huvutia kwake.
 
Back
Top Bottom