unhangaika hata kujibu ya nini?shida ya kishingo inajulikana ni mbabaishaji ana plan moja tu team ikibanwa kwisha kazi hata wazimbabwe walishaliona hilo, alivovurunda na kmc watetezi wakasema alikuwa anawazuga platnum sababu walituma mashushushu dsm ,
jana wamekuja na mengine kwamba tukubaliane na matokeo MATATU,NDIYO MAANA MASHABIKI WA SIMBA WANAACHA KWENDA UWANJANI SIKU HIZI, suala siyo kufungwa,teams inaweza ikafungwa lakini inapambana na kocha anaonekana kuna kitu anatafuta siyo huyu boya
Simba ya sasa ni simple sana kuwafunga wee waache wapigiane pasi za nyuma na pembeni sababu wako slow ukipata mipira ipitishe katikati kwa speed kubwa kama siyo mkude kukuchezea rafu kule nyuma kwa wawa na na onyango unawapita kirahisi sana
halafu wala haina shida kujua formation yao ni 4-2-3-1 kuanzia mwanzo wa msimu hadi mwisho,haijalishi wanacheza na majimaji au tp mazembe,wako nyumbani au ugenini,kishingo keshakariri hivyo maskini ya Mungu anaonekana ni kocha cheap sana ..wtf