TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 28,186
- 15,549
Musimo jr. kweli wewe wa juzi........ kuna ndoa zimeshafungwa, uchumba na hata mapenzi motomoto
tumepata kazi, dili za biashara na marafiki wa maana sana kwa maisha yetu na familia zetu, na ni humuhumu ndani kuna watu wameshapata hata watoto au hata kupata miaada mikubwa tu
usione kuna hoja nyepesi ukadhani kila kitu ni kwenye keyboards.... la hasha, mfano ni mimi binafsi, nimeweza kuonana na wanajf zaidi ya mia nikiwa bongo na hata nje ya bongo
If you want JF to be serious it will be and if you want it to be destructive it can as well be...... THE CHOICE IS YOUR
FYI...JF ni zaidi ya keyboard............... msome preta tena
tumepata kazi, dili za biashara na marafiki wa maana sana kwa maisha yetu na familia zetu, na ni humuhumu ndani kuna watu wameshapata hata watoto au hata kupata miaada mikubwa tu
usione kuna hoja nyepesi ukadhani kila kitu ni kwenye keyboards.... la hasha, mfano ni mimi binafsi, nimeweza kuonana na wanajf zaidi ya mia nikiwa bongo na hata nje ya bongo
If you want JF to be serious it will be and if you want it to be destructive it can as well be...... THE CHOICE IS YOUR
FYI...JF ni zaidi ya keyboard............... msome preta tena