luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
Habarin Wadau
Kama kichwa cha Habari kilivyo hapo juu. Kumbu kumbu yangu inanikumbusha awali iliwahi kutolewa katazo la kupiga miziki karibu na makazi ya watu sikumbuki exactly ni mwaka gan lkn ni ndani ya awamu ya sasa ila ajabu kwa sasa naona mambo vice versa ni miziki inavurumishwa kuanzia asubuhi mpaka jion tena ktk maenwo wanayo ishi watu hii ni kero hasa katika jiji la Dar
Mamlaka liangalieni hili swala upyaa
Kama kichwa cha Habari kilivyo hapo juu. Kumbu kumbu yangu inanikumbusha awali iliwahi kutolewa katazo la kupiga miziki karibu na makazi ya watu sikumbuki exactly ni mwaka gan lkn ni ndani ya awamu ya sasa ila ajabu kwa sasa naona mambo vice versa ni miziki inavurumishwa kuanzia asubuhi mpaka jion tena ktk maenwo wanayo ishi watu hii ni kero hasa katika jiji la Dar
Mamlaka liangalieni hili swala upyaa