Hivi ile bodi ya mishahara iliishia wapi?

Hivi ile bodi ya mishahara iliishia wapi?

Ukiuliza utaambiwa hizo taasisi zinaingiza hela au zinajiendesha
 
Zilikuwa Ni mbwembwe.
Nyongeza za mishahara subirieni awamu nyingine.
 
Iliundwa, ikapewa hadidu za rejea, imapitia salary scale za taasisi baadhi za umma, ikaona harmonization ni jambo ambalo haliwezekani.

Kwa sababu kuna baadhi ya taasisi mishahara mikubwa sana ila nyingine scale ni ya TGSD ya laki 7.1 huku wengine wakiwa na mishahara ya 3M kwenye job grade moja.

Sasa kuweka harmonization inabidi uwapandishe hawa wa laki 7 wote zaidi ya 300k kwenda 3M, hapo utapandisha payroll cost ya serikali kwa zaidi ya 40%, sasa ni 600B, itapanda hadi 900B kwa mwezi,

Hapo kinachofuata ni kua makusanyo yote ya serikali itabidi yatumike kulipa mishahara tena makusanyo yakiwa kidogo itabidi tukope kulipa mishahara, hakuna barabara wala hospitali mpya.

Ndio maana serikali hadi sasa haitaki kupandisha watu mishahara kwa kuogopa kuvunja ceiling ya payroll cost yake.

Sasa hivi ni taasisi chache ambazo zinampemdeza mkuu anawapa kibari cha kupandisha mishahara wengine

Imbombo ngafu.
 
Iliundwa, ikapewa hadidu za rejea, imapitia salary scale za taasisi baadhi za umma, ikaona harmonization ni jambo ambalo haliwezekani.

Kwa sababu kuna baadhi ya taasisi mishahara mikubwa sana ila nyingine scale ni ya TGSD ya laki 7.1 huku wengine wakiwa na mishahara ya 3M kwenye job grade moja.

Sasa kuweka harmonization inabidi uwapandishe hawa wa laki 7 wote zaidi ya 300k kwenda 3M, hapo utapandisha payroll cost ya serikali kwa zaidi ya 40%, sasa ni 600B, itapanda hadi 900B kwa mwezi,

Hapo kinachofuata ni kua makusanyo yote ya serikali itabidi yatumike kulipa mishahara tena makusanyo yakiwa kidogo itabidi tukope kulipa mishahara, hakuna barabara wala hospitali mpya.

Ndio maana serikali hadi sasa haitaki kupandisha watu mishahara kwa kuogopa kuvunja ceiling ya payroll cost yake.

Sasa hivi ni taasisi chache ambazo zinampemdeza mkuu anawapa kibari cha kupandisha mishahara wengine wanabakia kufa njaa.
Daah kweli nimeaminni hii nchi ni masikini, yaani hatuwezi kulipa bilioni 900 kwa mwezi??
 
Back
Top Bottom