Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Haina shida yoyote mkuu. FILA sio neno la matusi... Labda hapo kwenye 'L' pawekwe 'R' ndo ingeleta sokomoko kitaaniTuliwahi bishana sana jina halisi ya hiyo brand jinsi alphabet ya mwisho 'ilivyoarenjiwa'.
Ile siyo 'A' ni 'D'. Kama kweli hiyo herufi ni 'A', basi muasisi wa hiyo kampuni alidizaini hiyo herufi ya mwisho kimachale sana ili kuchanga watu ama kukwepa mkono wa chuma wa kisheria, kwa kuwa neno hilo ni tusi totaly.