Wakusoma 12
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 4,035
- 11,462
Ni kauli ya kushangaza kidogo kama mahakama Haina mamlaka ya kusikiliza kesi hiyo Watuhumiwa mmewapeleka hapo kufanya Nini kwanini wasiende moja kwa moja mahakama yenye nguvu kisheria ya kusikiliza kesi za namna hiyo?
Mambo ya zamani Bado tunayashadadia sana Tanzania.
Mambo ya zamani Bado tunayashadadia sana Tanzania.