Hivi ilikuwaje kwa Prof. Jay na Rashida Wanjara?

duuuh

Nyeto Oyeeee
 
The Life Park (zamani maisha club) mwenge ilipokua century cinemax zamani. Kila Jumatano kiingilio elfu 10,000.


Sent using Jamii Forums mobile app
Umewapa watu wa majoe location ya kinondoni mkuu jiandae na kutetea kesi kwa wake zao, sisi Wa kijitonyama, mikochen maeneo ya kairuki, makumbusho tunafika hapo mdogo mdogo, Mikocheni industrial area hatuna shida πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Story za kitambo sana, kumbe hata akina wema wakati wao nao utapita kama hawa akina rashida wanjara, Khadija mwanamboka,

Sent using Jamii Forums mobile app
Asha Baraka, Luiza Mbutu, Amina Mpakanjia (RIP), Hadija Kopa...majina yaliyobamba sana mjini

Enzi za Y2K....kidedea kidedea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…