Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sidhani kama Mhimbili Ina madaktari na manesi wanaofukuliwa mitaro kama wewe.Mimi nilimuhudumia Muhimbili. Mimi mwenyewe ndo source.
Si ulinifukua mtaro haya,na ndo maana unanifahamu.Sidhani kama Mhimbili Ina madaktari na manesi wanaofukuliwa mitaro kama wewe.
Samahani lakini nakufahamu usidanganye watu huku.
Umelipuuzia wakati wewe umesema Jay anaugua ukimwi na ukasema ulimpima hospital Muhimbili, nikakuuliza vipimo vyake una uhakika vilisoma ana ngwengwe ?Ukiona hivyo ujue ni swali takataka,nimelipuuzia. Si kila swali linajibiwa.
Acha utoto. Jibu lipo hapo hapo kwenye comment yako.Umelipuuzia wakati wewe umesema Jay anaugua ukimwi na ukasema ulimpima hospital Muhimbili, nikakuuliza vipimo vyake una uhakika vilisoma ana ngwengwe ?
Wewe jibu ulimpima Muhimbili pale je vipimo vilisoma ana ngwengwe una uhakika ?Acha utoto. Jibu lipo hapo hapo kwenye comment yako.
Hujafa hujaumbika dada. Tema mate chini na ukome kusingizia watuKakonda balaa,Ukimwi ni balaa,kawa mdogo utafikiri ndo kamaliza form six.Naogopa HIV mimi .
Umenikumbusha mbalisana king'oko ndo niliijulia bangi pale kwa mara ya kwanzaSasa Miraji mwenyewe si alikuwa msela tu anasponsa kundi la King'oko na kugongea mmea na kina Babuu, Ngwair, Langa etc.
Zipo story aliwahi kutimuliwa home na JK akaenda kuishi geto Kinondoni na kina Kala Pina maisha ya kihuni kabla ya kuzinguana nao!
BASATA ilikuwa bize na TaSUba tu kula hela za wazungu. Haikuwa na time ya kufungiana fungiana [emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanangu umeshindikana aiseee mpaka maushahidi khaaaaa
Bestbite kitambo kina mwana fa chimbo laoMara ya kwanza kumuona miraji live ni pale bestbite enzi izo ndio kiwanja alikuwa na kina langa wazee wa king'oko anawanunulia msosi. Mara kidogo kina pina wakaja na gari ina mziki mkubwa kinoma. Dizaini walikuja kinoma noma sana, madogo kina langa ikabidi wale winga. Me. Ilikuwa sielewi elewi maana nilikuwa tu pale nje namsubiri bro mmoja. Kuuliza ndio nikaambiwa beef lililopo. Long time kinyama.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna mtu kakuambia umeze?
Bestbite ule mgahawa umetulia kinoma na umekomaa kwa muda mrefu hukuti vijana wa hovyo mule ndani, mbele kidogo palikuwa na mwingine unaitwa Eaters point naona wamekata ring umefungwa.Bestbite kitambo kina mwana fa chimbo lao
Hapa umenena kweli...Aisee wewe mwanamke ni mkweli sana!Mimi nauogopa sana,yaani sitaki kabisa kupata HIV hivyo nilishaabstain kabisa mambo ya ngono.Sichezi mechi mimi tena siku hizi.
Rashida wanjara amegoma kuzeeka she is still looking young and energetic.