Hivi, ina maana sasa hivi Makamu wa Rais Dkt. Mpango hahusiki kabisa na chochote kifanywacho na Serikali?

Hivi, ina maana sasa hivi Makamu wa Rais Dkt. Mpango hahusiki kabisa na chochote kifanywacho na Serikali?

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
94,296
Reaction score
122,540
Hilo ni swali ninaloliuliza kwa nia njema kabisa.

Ni swali ambalo limekuwa likinijia kichwani mwangu baada ya Rais Samia kuwa Rais.

Nimeona na nimesikia sana kuwa Sasa Rais Samia “ is returning to the authoritarian practices of John Magufuli.”

Hivi, kama Rais akiwa dikteta, wewe makamu wake unakuwa nani sasa?

Unajitengaje na udikteta wa bosi wako?

Kwa sababu, kama wewe makamu hukubaliani na udikteta wa bosi wako, si unajiuzulu tu ili usiendelee kuchafuka.

Sasa unapoendelea kuwa makamu huku matendo ya kidikteta yakiendelea, maana yake ni huoni kibaya kinachoendelea.

Hizi habari za kwamba Rais Samia anarudi kwenye udikteta wa Rais Magufuli, ni bad faith arguments.

Anarudi kivipi ilhali yeye ndo alikuwa makamu wa Rais wa Magufuli?

Dkt. Mpango yeye hahusiki kabisa na chichote ambacho bosi wake, Rais Samia, anachokifanya?

Kama Magufuli alikuwa ni dikteta basi Samia harudi kwenye udikteta. Ni mwendelezo wa matendo ya timu ile ile iliyokuwepo.

Tofauti iliyopo sasa ni kwamba aliyekuwa kocha msaidizi ndo kawa kocha mkuu.

Watu waache kujitoa ufahamu.
 
Hilo ni swali ninaloliuliza kwa nia njema kabisa.

Dkt. Mpango yeye hahusiki kabisa na chochote ambacho bosi wake, Rais Samia, anachokifanya?

Kama Magufuli alikuwa ni dikteta basi Samia harudi kwenye udikteta. Ni mwendelezo wa matendo ya timu ile ile iliyokuwepo.

Tofauti iliyopo sasa ni kwamba aliyekuwa kocha msaidizi ndo kawa kocha mkuu.

Watu waache kujitoa ufahamu.
VP hahusiki kabisa na matendo na maamuzi ya bosi wake kwasababu kwa mujibu wa katiba yetu, rais wa JMT ni executive president ambaye anafikia maamuzi yote yeye kama yeye, anaweza kushauriwa na yeyote lakini kwenye kufikia maamuzi ni yeye mwenyewe kama yeye hawajibiki kufuata ushauri wa yeyote!. VP wetu ni president in waiting has no any executive powers, hata rais akiwa hayuko nchini na nchi kuwa chini ya VP, bado hawezi kusaini chochote kinachohitaji saini ya rais. Hiivyo VP wetu is just a figure kusubiria just incase rais ata nanilii!. Samia was not a part to maamuzi , mawazo,maneno na matendo ya JPM, so does Dr Mpango is not a part to maamuzi, mawazo,maneno na matendo ya Rais Samia isipokuwa maamuzi ya cabinet yanakuwa ni maamuzi ya wote under the collective responsibility clause.
P
 
Hilo ni swali ninaloliuliza kwa nia njema kabisa.

Ni swali ambalo limekuwa likinijia kichwani mwangu baada ya Rais Samia kuwa Rais.

Nimeona na nimesikia sana kuwa Sasa Rais Samia “ is returning to the authoritarian practices of John Magufuli.”

Hivi, kama Rais akiwa dikteta, wewe makamu wake unakuwa nani sasa?

Unajitengaje na udikteta wa bosi wako?

Kwa sababu, kama wewe makamu hukubaliani na udikteta wa bosi wako, si unajiuzulu tu ili usiendelee kuchafuka.

Sasa unapoendelea kuwa makamu huku matendo ya kidikteta yakiendelea, maana yake ni huoni kibaya kinachoendelea.

Hizi habari za kwamba Rais Samia anarudi kwenye udikteta wa Rais Magufuli, ni bad faith arguments.

Anarudi kivipi ilhali yeye ndo alikuwa makamu wa Rais wa Magufuli?

Dkt. Mpango yeye hahusiki kabisa na chichote ambacho bosi wake, Rais Samia, anachokifanya?

Kama Magufuli alikuwa ni dikteta basi Samia harudi kwenye udikteta. Ni mwendelezo wa matendo ya timu ile ile iliyokuwepo.

Tofauti iliyopo sasa ni kwamba aliyekuwa kocha msaidizi ndo kawa kocha mkuu.

Watu waache kujitoa ufahamu.
Nadhani yuko busy na mikasi
 
Uongozi umejaa unafiki, kama mtu anaweza kukataa nafasi ya kuteuliwa na akaanza kufanyiwa visa, kuwa blacklisted unadhani itakuwaje kwa VP akijiuzulu hata kama anataka?
 
Uongozi umejaa unafiki, kama mtu anaweza kukataa nafasi ya kuteuliwa na akaanza kufanyiwa visa, kuwa blacklisted unadhani itakuwaje kwa VP akijiuzulu hata kama anataka?
Si unatoa tu kisingizio cha afya haikuruhusu….
 
Rais ndiye Mkuu wa Nchi, Amiri Jeshi Mkuu na Mkuu wa Serikali. Urais hauna ubia. Atakayelaumiwa ni Rais. Sasa ya nini makamu kujiuzulu? Wewe unaweza kuacha kazi hapo ulipo, kisa watu wana hisia kwamba boss wako anaharibu?
 
Hilo ni swali ninaloliuliza kwa nia njema kabisa.

Ni swali ambalo limekuwa likinijia kichwani mwangu baada ya Rais Samia kuwa Rais.

Nimeona na nimesikia sana kuwa Sasa Rais Samia “ is returning to the authoritarian practices of John Magufuli.”

Hivi, kama Rais akiwa dikteta, wewe makamu wake unakuwa nani sasa?

Unajitengaje na udikteta wa bosi wako?

Kwa sababu, kama wewe makamu hukubaliani na udikteta wa bosi wako, si unajiuzulu tu ili usiendelee kuchafuka.

Sasa unapoendelea kuwa makamu huku matendo ya kidikteta yakiendelea, maana yake ni huoni kibaya kinachoendelea.

Hizi habari za kwamba Rais Samia anarudi kwenye udikteta wa Rais Magufuli, ni bad faith arguments.

Anarudi kivipi ilhali yeye ndo alikuwa makamu wa Rais wa Magufuli?

Dkt. Mpango yeye hahusiki kabisa na chichote ambacho bosi wake, Rais Samia, anachokifanya?

Kama Magufuli alikuwa ni dikteta basi Samia harudi kwenye udikteta. Ni mwendelezo wa matendo ya timu ile ile iliyokuwepo.

Tofauti iliyopo sasa ni kwamba aliyekuwa kocha msaidizi ndo kawa kocha mkuu.

Watu waache kujitoa ufahamu.
Mkuu,


Wewe huoni hata majukumu ya makamu wa rais yameingiliwa na kukumbatiwa kwenye ofisi ya rais kinyume na utaratibu?

Masuala yote ya mazingira, nishati safi yanatakiwa yabebewe bango na ofisi ya makamu wa rais lakini kwa sasa ni kinyume chake na anayepewa 'credit' kwenye eneo hilo ni rais kwamba ndio ndoto yake kana kwamba yeye ndiye aliyeanzisha majukumu ya makamu wa raisi na yakatekelezwa kwa ufanisi!!!

Katika hali kama hiyo kwanini mtu apoteze muda wake kupambania suala ambalo hatambuliki mchango wake? Kila kitu rais, rais, rais wakati mtendaji kwa mjibu wa katiba ni mwingine
 
AtaNanilii nini sasa? Heb funguka atakufa au mburkinabe?
VP hahusiki kabisa na matendo na maamuzi ya bosi wake kwasababu kwa mujibu wa katiba yetu, rais wa JMT ni executive president ambaye anafikia maamuzi yote yeye kama yeye, anaweza kushauriwa na yeyote lakini kwenye kufikia maamuzi ni yeye mwenyewe kama yeye hawajibiki kufuata ushauri wa yeyote!. VP wetu ni president in waiting has no any executive powers, hata rais akiwa hayuko nchini na nchi kuwa chini ya VP, bado hawezi kusaini chochote kinachohitaji saini ya rais. Hiivyo VP wetu is just a figure kusubiria just incase rais ata nanilii!. Samia was not a part to maamuzi , mawazo,maneno na matendo ya JPM, so does Dr Mpango is not a part to maamuzi, mawazo,maneno na matendo ya Rais Samia isipokuwa maamuzi ya cabinet yanakuwa ni maamuzi ya wote under the collective responsibility clause.
P
 
Hilo ni swali ninaloliuliza kwa nia njema kabisa.

Ni swali ambalo limekuwa likinijia kichwani mwangu baada ya Rais Samia kuwa Rais.

Nimeona na nimesikia sana kuwa Sasa Rais Samia “ is returning to the authoritarian practices of John Magufuli.”

Hivi, kama Rais akiwa dikteta, wewe makamu wake unakuwa nani sasa?

Unajitengaje na udikteta wa bosi wako?

Kwa sababu, kama wewe makamu hukubaliani na udikteta wa bosi wako, si unajiuzulu tu ili usiendelee kuchafuka.

Sasa unapoendelea kuwa makamu huku matendo ya kidikteta yakiendelea, maana yake ni huoni kibaya kinachoendelea.

Hizi habari za kwamba Rais Samia anarudi kwenye udikteta wa Rais Magufuli, ni bad faith arguments.

Anarudi kivipi ilhali yeye ndo alikuwa makamu wa Rais wa Magufuli?

Dkt. Mpango yeye hahusiki kabisa na chichote ambacho bosi wake, Rais Samia, anachokifanya?

Kama Magufuli alikuwa ni dikteta basi Samia harudi kwenye udikteta. Ni mwendelezo wa matendo ya timu ile ile iliyokuwepo.

Tofauti iliyopo sasa ni kwamba aliyekuwa kocha msaidizi ndo kawa kocha mkuu.

Watu waache kujitoa ufahamu.
Msingi wa hoja yako ni nini? 🙏🙏🙏
 
VP anamsaidia sana Samia technically sbb anajua vitu vingi vya kiuchumi na kielimu
 
Nchi imetulia sisikii kuhusu waziri mkuu wala makamu wa Raisi , ni full machawa na mitano tena
 
Back
Top Bottom