Hivi, ina maana sasa hivi Makamu wa Rais Dkt. Mpango hahusiki kabisa na chochote kifanywacho na Serikali?

umejitahidi sana kupotosha kinyonge mno gentleman ..

amekufundisha nani upotofu wa wazi kama huo?🐒
 
Umenikumbusha kuhusu mtoto wa nyoka
 
Paskali hapo umeamua kutokumwelewa mjumbe.Au hapo akili kubwa umeiweka likizo.Alipo VP wa leo ndipo alipokuwa P wa leo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…