Hivi ina ulazima gani?

Hivi ina ulazima gani?

Laswell

Senior Member
Joined
Feb 23, 2024
Posts
144
Reaction score
191
Hebu tuambiane jambo/mambo ambayo hayana ulazima kwenye mchakato wa kutongoza.

Jamaa yangu ametengwa na wanaume wenzake hapa mtaani kwa tabia yake mbovu ya kutongoza wake za rafiki zake. Huku wakijua ni rafiki Yao wanamsimulia matukio muhimu ya michepuko waliyonayo.

Jamaa akitoka anaenda kuwatongoza wake za rafiki zake kwa kuwafungukia zile Siri zote anazozifahamu kuhusu waume zao.

Kwa mfano"unanikataa wakati mumeo anatembea na flani bin flani na amemfanyia moja, mbili tatu" .

Najiuliza Kuna ulazima wowote wakutongoza kwa kuanika Siri za mwanaume mwenzio?
 
Ni hao hao rafiki zake ndio wanampa hiyo nafasi, kwanini wamsimulie kuhusu hiyo michepuko?
 
Hapo jamaa mtongozaji wa wake za marafiki zake na hao marafiki zake wote kwa pamoja waache uzinzi na uasherati.
Hamna kesi hapo.
Kwamba huyu jamaa ni mtume wa Mungu aliyepewa kazi ya kuvuruga tabia za uchepukaji?
 
Ni hao hao rafiki zake ndio wanampa hiyo nafasi, kwanini wamsimulie kuhusu hiyo michepuko?
Walikuwa hawajamfahamu vzr ....mmoja kati ya waliotongozwa ndo alifunguka kuwa jamaa amekuja na kusimulia yote yanayoendelea huko duniani
 
Ana siku chache sana kabla hajadhalilisha jeshi kwa video zake za ovyo zitakazosambazwa
 
Back
Top Bottom