Hivi ina ulazima gani?

Hivi ina ulazima gani?

Si ajabu wakijiridhisha na huo umbeya huwa wanampa!

Wake za watu huwa wanaigiza uaminifu kwenye ndoa zao mpaka pale wakijua waume zao wana michepuko ndiyo wanaanza nao kutombesha nje kulipiza.
 
tatizo wala siyo huyo jamaa yenu bali ninyi mnaomwambia mambo ya faragha zenu ilihali mnajua fridge lake haligandishi..
 
Afu huwez amini ni mjeshi katika moja ya majeshi tunayoyaheshimu hapa nchini
Unaweza kuwa mkakamavu wa mwili lakini akili mdebwedo tu.
Jando linafinyanga wanaume wajitambue na waijue miiko yao.
Kutongoza shemeji, ama ex wa mshikaji ni HAPANA!
Kushusha wanaume wenzako ili ujipandishe ni HAPANA!
Na HAPANA nyingine nyingi...
 
H
Unaweza kuwa mkakamavu wa mwili lakini akili mdebwedo tu.
Jando linafinyanga wanaume wajitambue na waijue miiko yao.
Kutongoza shemeji, ama ex wa mshikaji ni HAPANA!
Kushusha wanaume wenzako ili ujipandishe ni HAPANA!
Na HAPANA nyingine nyingi...
Hizi HAPANA nimezikubali mkuu
 
Dawa ya huyo mwanaume ni kumtongoza na yeye ili akahadithie vizur.

Bwege kabisa
 
Back
Top Bottom